Mwakilishi
wa Mauzo ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kanda ya Temeke, Bw. Alen
Mwebuga (kushoto), akimkabidhi Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya cha Mbagala
Round Table Maternity Home, Dkt. Baturi Luhanda, mfano wa Hundi ya sh.
Milioni 20, kwa ajili ya kusaidia kuchimba kisima cha maji. Wengine
katika picha ni Afisa Uhusiano wa TBL, Bi. Doris Malulu (wa pili kulia),
Mhandisi wa mradi huo, Bw. Onesmo Zakaria na Rais wa Rotary Klab Agnes
Batenga. (Na Mpigapicha Wetu) TAN
Bayport
Kikoa
Myway entertainment
FORE PLAN CLINIC
MPINGA CUP 2016
Mashujaa Fm 89.3, Lindi
Friday, September 26, 2014
TBL YATOA MSAADA WA VISIMA VYA MAJI ZANZIBAR NA MBAGALA
Mwakilishi
wa Mauzo ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kanda ya Temeke, Bw. Alen
Mwebuga (kushoto), akimkabidhi Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya cha Mbagala
Round Table Maternity Home, Dkt. Baturi Luhanda, mfano wa Hundi ya sh.
Milioni 20, kwa ajili ya kusaidia kuchimba kisima cha maji. Wengine
katika picha ni Afisa Uhusiano wa TBL, Bi. Doris Malulu (wa pili kulia),
Mhandisi wa mradi huo, Bw. Onesmo Zakaria na Rais wa Rotary Klab Agnes
Batenga. (Na Mpigapicha Wetu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment