Pages

Wednesday, October 1, 2014

programu ya kujitolea kwa vijana yahitimishwa

IMG_8294Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akiongea na wahitimu wa program ya kujitolea ya Vyuo Vikuu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa VSO International Tanzania Bw. Jean Van Wetter IMG_8331Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel aleyekaa katikati katika picha ya Pamoja na wahitimu wa Programu ya kujitolea kwa Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa VSO International Tanzania Bw. Jean Van Wetter.
IMG_8278Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel katikati akimpa Cheti Dada Ndidi Tumpe wakati wa kuhitimisha Programu ya kujitolea kwa Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa VSO International Tanzania Bw. Jean Van Wetter.
Picha na Benjamin Sawe

No comments:

Post a Comment