Pages

Sunday, December 21, 2014

KILICHOTOKEA MSITU WA MAFINGA IRINGA MCHANA WA LEO.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjNbRTftD0cJERshA7m-pJpa-mbWrryCvslGZ-yIl4oSKM8r2uyB4dBjfM2p3CwElJNJBZMJz-yHXQYQEy8-p96FAiyCsHpU1T3rhDjB7lLHSkqSjbj0Fh-gUfvo9-gj78bCiohyX-3lXYR/s1600/unnamed+(1).jpg
Chanzo inasadikika kuwa ni mwendo kasi na gari kuacha njia  kwa sababu ambazo bado hazijajulikana na kupinduka.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh0no8NJjZc-jftl1pxxagolqDTun76rL_npfzpP1xefEEXHhjhyphenhyphen_9L6kx-y6E3-cypQh3aE318JBsz3AfWIQ1GiVqP9p1aohOXf8qvzGFSzkH8ypWLJnehvm7C1jbhbH6nir9FrzMgro2W/s1600/unnamed.jpg
Wakati Mkoa wa Iringa unaadhimisha wiki ya usalama barabarani yenye kauli mbiu maamuzi yako barabarani ni hatima yetu - fikiri kwanza - Ajali mbaya imetokea katika msitu wa miti wa Mafinga Iringa mchana huu.
 Kwa mujibu wa Mpasha habari wetu ni kwamba mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Yunith Gwamaka Mwakenja ndiye pekee aliyepoteza maisha  , Dereva wa gari hilo ambaye ni mhadhiri wa chuo cha Tumain makumira Tawi la Mbeya Bw Gwamaka Mwakenja yeye amepata majaraha lakini  pia  majeruhi mwingine ni Joyce Fredy. Abiria Wengine waliokuwa katika safari hiyo wametibiwa na kuruhusiwa.

No comments:

Post a Comment