Pages

Sunday, December 21, 2014

NSSF YATOA ZAWADI KWA MAMENEJA WAKE

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dkt. Ramadhan Dau, akimkabidhi zawadi Meneja Mwandamizi wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa NSSF ya Gambia, Bw. Baboucarr nyan (kushoto) na Meneja wa Idara ya Bima wa shirika hilo Gambia, Bw. Edward Somez. walipokuwa nchini kwa mafunzo maalumu ya wiki mbili, Dar es Salaam juzi.  (Na Mpigapicha Wetu)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dkt. Ramadhan Dau, akiwakabidhi zawadi maofisa wawili kutoka NSSF Gambia,  Meneja Mwandamizi wa Idara ya Habari na Mawasiliano, Bw. Baboucarr nyan (kushoto) na Meneja wa Idara ya Bima kutoka shirika hilo, Bw. Edward Somez, waliokuwa nchini kwa mafunzo maalumu ya wiki mbili, Dar es Salaam juzi. (Na Mpigapicha Wetu)

No comments:

Post a Comment