Pages
(Move to ...)
Home
▼
Thursday, April 21, 2016
KATIBU WA CHADEMA MKOA WA DAR ES SALAAM AZUNGUMZA MIKAKATI MBALIMBALI YA CHAMA CHAO.
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Dar es salaam, Henry Kileo akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo juu ya mikakati mbalimbali ya chama hicho kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Dar es salaam, Benard Mwakyembe.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Dar es salaam, Benard Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari juu wananchi wanavyokosa habari wakati bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuto kuonyesha matangazo ya chama chao
(Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii)
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment