Pages

Thursday, April 21, 2016

Naibu Waziri Jafo Awataka Watendaji kutembelea maeneo yao ya kazi

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo akiwa katika ziara ya kutembelea shule ya msingi Nzuguni B. Kulia kwake ni Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma Mstahiki Jaffari Mwanyemba aliyeongozana na Mhe. Naibu waziri katika ziara hiyo.







No comments:

Post a Comment