Pages

Monday, May 30, 2016

Klabu ya Rotary ya Oyster Bay Yatoa Huduma za Afya kwa Wanafunzi zaidi ya 950 wa Shule Mbili za Msasani


Dakitari wa macho akiwa katika jukumu la kumpima macho mwanafunzi wa shule ya msingi msasani

Rais wa klabu ya Rotary ya Oyster bay jijini Dar es Salaam, Bwana Mohammed Versi akizungumza na wanahabari

Baadhi ya madakitari wakiwa katika majukumu yao ya kuhakikisha kila mwanafunzi anapata matibabu









No comments:

Post a Comment