MPALULEBLOG:

Pages

▼

Sunday, May 29, 2016

Waziri wa Mazingira JANUARY MAKAMBA atembelea Jamii ya Wafugaji wa Kimasai

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, January Makamba Akizungumza na Baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Parakuyo ambao wengi wao ni wanatoka kwenye familia za Wafugaji. 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, January Makamba Akizungumza na Wafugaji kutoka Kijiji cha Parakuyo. 
Akina mama wa Kijiji cha Parakuyo wakimsikiliza kwa Makini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, January Makamba wakati alipotembelea Maeneo ya Wafugaji na Kuzungumza nao. 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Januari Makamba akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Parakuyo ambao wengi wao ni Wafugaji.Picha na IMANI SELEMANI NSAMILA 
Unknown at 10:49 PM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.