Pages

Friday, June 10, 2016

NIDA YAANZA KUTOA VITAMBULISHO VYENYE SAINI

Picha na Fatma Salum (MAELEZO).


Frank Mvungi-Maelezo

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeanza kutoa vitambulisho vya Taifa vyenye saini ya mwombaji kuanzia mwezi Juni mwaka huu.

Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Mamlaka hiyo Bi. Rose Mdami wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam. 

No comments:

Post a Comment