MPALULEBLOG:

Pages

▼

Thursday, July 21, 2016

Rais wa Zanzibar Dkt Shein na wajumbe wa visiwani watua Dodoma asubuhi hii kushiriki mkutano maalum wa CCM

Rais wa Zanzibar na MakamU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Mh Jordan Rugimbana muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege mkoani Dodoma sambamba na wajumbe wake asubuhi hii,kushiriki mkutano maalum wa CCM unaotarajiwa kufanyika Julai 23,206 katika ukumbi wa mikutano wa CCM, Dodoma Conversion Center nje kidogo ya mji wa Dodoma.
Rais wa Zanzibar na MakamU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na baadhi ya Wafanyakazi wa ndege ya shirika la Precision air muda mfupi baada ya kuwasili mkoani Dodoma sambamba na wajumbe wake asubuhi hii kushiriki mkutano maalum wa CCM unaotarajiwa kufanyika Julai 23,206 katika ukumbi wa mikutano wa CCM, Dodoma Conversion Center nje kidogo ya mji wa Dodoma.
Pichaani ni baadhi ya Wajumbe mbalimbali kutoka Visiwani Zanzibar wakiwasili katika uwanja wa ndege mjini Dodoma asubuhi hii,kushiriki mkutano maalum wa CCM unaotarajiwa kufanyika Julai 23,206 katika ukumbi wa mikutano wa CCM, Dodoma Conversion Center nje kidogo ya mji wa Dodoma.
Unknown at 4:00 AM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.