Pages

MPANGO WA KUSAIDIA KAYA MASIKINI (PSSN) WABADILISHA MAISHA YA WANANCHI VIKUGE, KIBAHA






TFDA YAKAMATA SHEHENA KUBWA YA VIPODOZI VILIVYOPIGWA MARUFUKU DAR ES SALAAM





Jumuiya ya Wakurugenzi wa Serikali za Mitaa Kutoka UGANDA Watembelea Kampuni ya Maxcom Africa - Maxmalipo


Jumuiya ya wakurugenzi wa serikali za Mitaa wapatao 60 Kutoka Uganda wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa kampuni ya MAXCOM Africa mapema leo walipokuwa wametembelea Ofisi za Maxmalipo Kujifunza ni jinsi Gani kampuni hii Imeweza kugundua teknolojia inayosaidia kudhibiti makusanyo kwenye vyanzo mbalimbali vya mapato katika Halmashauri za miji na majiji Nchini Tanzani

WABUNGE WA EALA-TANZANIA WATEMBEELA CLOUDS MEDIA GROUP NA KUPEWA UJUMBE MZITO

Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Bw. Ruge Mutahaba, (kulia), akitoa maelezo ya uendeshaji wa kampuni hiyo, wakati wabunge wa bunge la Afrika Mashariki (EALA-Tanzania), walipotembelea studio za Clouds radio/TV Mikocheni jijini Dar es Salaam Aprili 22, 2016. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa wabunge hao Mh. Charles Makongoro Nyerere, Mh. Nderaikindo Kessy, na Mh. Shy-Rose Bhanji.

WAZIRI MKUU: TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA LAPUNGUA