TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, November 29, 2011

RAIS WA AWAMU YA TATU NDG, WILIAM BENJAMINI MKAPA, ALIPOTEMBELEA MAHAFALI YA PILI YA CHUO KIKUU DODOMA

mhitimu wa shahada ya kwanza ya Uhusiano wa kimataifa katika chuo kikuu cha Dodoma, Balu Lada(kulia), akipeana mkono na mmoja wa walimu wake muda mfupi baada ya kumaliza mahafari ya pili ya chuohicho juziiiii, mgeni rasmi katika mahafali hayo alikuwa rais mstaafu wa awamu ya Tatu ndg. Benjamini Wiliam Mkapa.

Mhitimu wa Shahada ya Uongozi katika biashara-Chuo Kikuu cha Dodoma, James Mande(nyuma)akiwa na wazazi wake  pamoja na wadogo zake Veronica Mande, Muda mfupi baada ya mahafali ya pili ya chuo hicho. kati ni rafiki wa James mande
Mhitimu wa Shahada ya Uongozi katika biashara-Chuo Kikuu cha Dodoma, James Mande(kushoto)akipokea zawadi ya Shada la Maua kutoka kwa mdogo wake Veronica Mande, Muda mfupi baada ya mahafali ya pili ya chuo hicho. kati ni rafiki wa James mande
 Baadhi ya Wahitimu wa mahafali ya pili ya Chuo Kikuu Cha Dodoma, wakipiga picha na ndugu zao muda mfupi baada ya hafla hiyo chuoni hapo mjini Dodoma
 Mhitimu wa Mahafali ya pili ya chuo Kikuu dodoma, akipokelewa na ndugu zake
 Mhitimu wa mahafali ya pili ya chuo kikuu dodoma 2011- akipozi katika picha
 Wahitimu wa mahafali ya Pili ya Chuo Kikuu Dodoma, wakiondoka kwenye Hafla ya Mahafali ya Chuo Kikuu hicho cha Dodoma 2011
Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Mh. Benjamini Wiliam Mkapa,(kati) akiondoka kwenye hafla ya Mahafali ya Pili ya chuo kikuu cha Dodoma. ambapo alikuwa Mgeni Rasmi.
 
Mgeni Rasmi wa mahafali ya Pili ya chuo kikuu cha Dodoma, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Mh. Benjamini Wilium Mkapa, akiondoka kwenye hafla ya mahafali hayo mjini Dodoma
 Bendi ya Kikosi cha Jeshi, kikiongoza Mgeni Rasmi, Rais wa awamu ya Tatu kuondoka kwenye hafla ya mahafali ya pili ya chuo kikuu dodoma 2011.(Picha Zote na Shaaban Mpalule)