Baadhi ya Watoto wakiwa katika Harakati za kufanikisha Bonanza
Ma MC Chipukizi walioshereheshea Bonanza wakiwa Jukwaani katika siku hiyo ya Watoto
Waandaaji wa Bonanza wakiwa kwenye Bonanza hilo
mkurugenzi wa Woman Society ambaye pia ndiye
mratibu wa bonanza hilo Janeth Mwasawala akifafanua jambo
Mgeni mwalikwa wa Bonanza Mwalimu Neema Kabale Kutoka Tawotea wa kwanza
kulia akisikiliza maelezo kutoka kwa kituo cha Msaada wa Kisheria cha WLAC , Wakili, Bw. Emmanuel
Sosteness. 

Mgeni mwalikwa wa Bonanza Mwalimu Neema Kabale Kutoka Tawotea wa kwanza
kulia akisikiliza maelezo kutoka Taasisi ya kupambana na Kuzuia Rushwa
Tanzania (PCCB) katika maelezo yaliyotolewa na Marcella Salu, ambaye ni Afisa wa Elimu kwa Umma Mkoa wa Kinondoni.
Mgeni mwalikwa wa Bonanza Mwalimu Neema Kabale Kutoka Tawotea wa kwanza
kulia akisikiliza maelezo kutoka kwa kituo cha Msaada wa Kisheria cha WLAC , Wakili, Bw. Emmanuel
Sosteness.

Mgeni mwalikwa wa Bonanza Mwalimu Neema Kabale Kutoka Tawotea wa kwanza
kulia akisikiliza maelezo kutoka Taasisi ya kupambana na Kuzuia Rushwa
Tanzania (PCCB) katika maelezo yaliyotolewa na Marcella Salu, ambaye ni Afisa wa Elimu kwa Umma Mkoa wa Kinondoni.
Mkurugenzi wa Woman Society ambaye pia ndiye
mratibu wa bonanza hilo Janeth Mwasawala akifanya mahojiano na vyombo mbali mbali vya habari.
Mkurugenzi wa Woman Society ambaye pia ndiye
mratibu wa bonanza hilo Janeth Mwasawala akifanya mahojiano na vyombo mbali mbali vya habari.
Wanafunzi kutoka Shule mbali mbali wakishiriki kikamilifu katika Fani mbali mbali za Michezo katika Bonanza hilo
Mgeni Rasmi wa Bonanza hilo ambaye kutoka wizara ya Afya maendeleo ya jamii
jinsia Wazee na watoto Bi. Asha Sarota akikagua moja ya Mabanda katika Bonanza
Wanafunzi kutoka Shule mbali mbali za jiji la Dar es Salaam, wakiwasilisha Ujumbe wa Watoto kwa Ngonjera
Washiriki Watoto na Wazazi wakifuatilia
Kamati ya Bonanza ikifuatilia masuala mbalimbali
Mkurugenzi Mtendaji msaidizi wa Vegeta, Damir Istvanovic akiwaongoza akishiriki katika kutoa bidhaa zinazopatikana katika kampuni hiyo ndani ya bonanza hilo.(Picha Zote na Shaaban Mpalule).
==================================================
Na: Ismael Mnikite.
Women
IN SOCIETY ; ni wanawake walio ndani ya jamii katika kufanya mambo yanayohusiana na Maendeleo ya jamii, ambapo leo wameandaa bonanza la kutoa elimu kwa jamii kuhusu kuboresha haki
na thamani ya watoto ili kupunguza ukatili kwa watoto, ikiwa ni kutokana na kuwa
ukatili umekuwa ukikithili katika maisha ya kila siku kwa kwa watoto.
ikiwa ni pamoja na watoto kutosikiliza wazazi na wazazi kutokuwa karibu na watoto wao , Hivyo bonanza hili lengo lake ni kuwaweka watoto karibu na wazazi ambapo kwa pamoja watakuwa kitu kimoja kati ya Wazazi na Watoto wakiwajumuisha wadau mbali mbali ikiwemo Serikali na kwamba miongoni mwa malengo ni kuwafikiwa watoto na Wazazi nchini kote. .
Akizungumza
katika bonanza hilo mkurugenzi wa Woman Society ambaye pia ndiye mratibu wa
bonanza hilo Bi. Janeth Mwasawala, amesema kuwa siku ya leo jumla ya shule 34 za mkoa wa dare
s salaam, wazazi na walimu wameshiriki, ambapo pia amesema shughuli hiyo
imedhaminiwa na Tanzania Tea brenders, Plan International, Vegeta Podravka Ltd,
Dolphin cline water, na Dart ambapo ufunguzi wa bonanza hilo umeshirikisha
msemaji mkuu kutoka wizara ya Afya maendeleo ya jamii jinsia Wazee na watoto Asha Sarota,










































Kaimu
Mkurugenzi wa Idara ya Michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa
na Michezo Bw. Alex Nkenyenge akisistiza jambo mbele ya wajumbe wa kikao
kati ya Serikali na wananchi wa eneo la changamani Wilaya ya Temeke
jijini Dar es Salaam katika kikao cha kujadilina kuhusu wananchi hao
kuhama eneo hilo kupisha uendelezaji wa eneo hilo kuwa kijiji cha
Michezo.
Kaimu
Meneja wa Uwanja wa Taifa Bw. Julius Mgaya akichangia hoja katika kikao
kati ya Serikali na wananchi wa eneo la changamani Wilaya ya Temeke
jijini Dar es Salaam katika kikao cha kujadilina kuhusu wananchi hao
kuhama eneo hilo kupisha uendelezaji wa eneo hilo kuwa kijiji cha
Michezo.
Mwakilishi
wa Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bw.Mafuku Rajabu akifafanua jambo katika
kikao kati ya Serikali na wananchi wa eneo la changamani Wilaya ya
Temeke jijini Dar es Salaam katika kikao cha kujadilina kuhusu wananchi
hao kuhama eneo hilo kupisha uendelezaji wa eneo hilo kuwa kijiji cha
Michezo.
Eneo
la Changamani kijiji cha Michezo ambalo wananchi wake wanatakiwa kuhama
ndani ya miezi miwili kupisha uendelezwaji wa eneo hilo kwa ajili ya
michezo mbalimbali.Picha na Raymond Mushumbusi WHUSM
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akizungumza
na wafanyakazi wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), na wadau wa Sekta ya
Mawasiliano (hawapo pichani), wakati uzinduzi wa nembo mpya ya kampuni
hiyo na huduma ya 4G LTE jijini Dar es Salaam.
Mjumbe
wa Bodi ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bi. Edwina Lupembe
akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa
Makame Mbarawa, katika hafla ya uzinduzi wa nembo mpya ya kampuni hiyo
na huduma ya 4G LTE
Afisa
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dkt. Kamugisha
Kazaura akielezea mafanikio ya TTCL kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (hayupo pichani), katika hafla ya
uzinduzi wa nembo mpya ya kampuni hiyo na huduma ya 4G LTE jijini Dar es
Salaam.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akizindua
nembo mpya ya Kampuni ya Simu ya Tanzania (TTCL), jijini Dar es Salam.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akijadiliana
jambo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dkt.
Kamugisha Kazaura, wakati wa halfla ya uzinduzi wa nembo mpya ya kampuni
hiyo na huduma ya 4G LTE jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), wakifatilia sherehe
za uzinduzi wa nembo mpya ya kampuni hiyo na huduma ya 4G LTE jijini Dar
es Salaam.
Katibu
Mkuu kiongozi Dkt. John Kijazi katikati akiongea na waandishi wa habari
hawapo pichani katika hafla fupi ya kupokea msaada wa magodoro 50
kutoka kwa Umoja wa Makanisa ya pentekoste iliyofanyika katika hospitali
ya Mwananyamala wa kwanza kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Bw. Ally
Hapi na wa kwanza kushoto ni katibu Tawala wa Mkoa Bi. Theresia Mbando.
Katibu
Mkuu kiongozi Dkt. John Kijazi katikati akiongozana na Mkuu wa Wilaya
ya Kinondoni Bw. Ally Hapi na wa kwanza kulia na wa kwanza kushoto ni
katibu Tawala wa Mkoa Bi. Theresia Mbando kuelekea wodini kusalimia
wagonjwa wakati wa hafla fupi ya kupokea msaada wa magodoro 50 kutoka
kwa Umoja wa Makanisa ya pentekoste iliyofanyika katika hospitali ya
Mwananyamala .
Mkuu
wa Wilaya ya Kinondoni Bw. Ally Hapi wa kwanza kushoto akimsikiliza
mmoja wa wagonjwa wanaotibiwa katika hospitali ya Mwananyamala akitoa
kero zake kuhusu hospitali hiyo wakati wa hafla fupi ya kupokea msaada
wa magodoro 50 kutoka kwa Umoja wa Makanisa ya pentekoste iliyofanyika
katika hospitalini hapo.
Wananchi
wakitoa malalamiko yao kuhusu huduma zinzotolewa Hospitali ya
Mwananyamala mbele ya Katibu Mkuu kiongozi Dkt. John Kijazi na Mkuu wa
Wilaya ya Kinondoni Bw. Ally Hapi hawapo pichani wakati wa hafla fupi ya
kupokea msaada wa magodoro 50 kutoka kwa Umoja wa Makanisa ya
pentekoste iliyofanyika katika hospitalini hapo.
Wananchi
wakitoa malalamiko yao kuhusu huduma zinzotolewa Hospitali ya
Mwananyamala mbele ya Katibu Mkuu kiongozi Dkt. John Kijazi na Mkuu wa
Wilaya ya Kinondoni Bw. Ally Hapi hawapo pichani wakati wa hafla fupi ya
kupokea msaada wa magodoro 50 kutoka kwa Umoja wa Makanisa ya
pentekoste iliyofanyika katika hospitalini hapo.
Baadhi ya magodoro yaliyopokelewa hospitalini hapo.








