Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akiwahutubia Wakandarasi, Wahandisi na wadau mbalimbali wa sekta ya 
Ujenzi kabla ya kufungua rasmi Mkutano  wa Siku mbili wa Mashauriano wa 
Bodi ya Usajili wa Makandarasi nchini CRB uliofanyika katika ukumbi wa 
mikutano wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akipewa maelezo kuhusu katapila linalotumika katika kazi mbalimbali za 
ujenzi mara baada ya kufungua mkutano wa siku mbili wa Mashauriano wa 
Bodi ya Usajili wa Makandarasi jijini Dar es Salaam.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akiwasili kwenye ukumbi wa Mikutano wa Diamond Jubilee kwa ajili ya 
Ufunguzi rasmi wa Mkutano wa Siku mbili wa Mashauriano wa Bodi ya 
Usajili wa Makandarasi nchini CRB.===========================================
MATUKIO YA BUNGE LEO MJINI DODOMA.
=======================================================KATIBU MKUU KIONGOZI AFANYA ZIARA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA KINONDONI MWANANYAMALA DAR ES SALAAM LEO
========================================================== 
SERIKALI YAWAPA MIEZI MIWILI WAISHIO KIJJIJI CHA MICHEZO CHANGAMANI KUHAMA.
 
====================================================
DAWATI LA MALALAMIKO KUFANYA KAZI MASAA 24 HOSPITALI YA MWANANYAMALA.
============================================= 
MISS TANZANIA USA AEESHA KAMARA ATEMBELEA HIGHLAND NURSERY SCHOOL, TABATA, JIJINI DAR
JAJI MKUU ZIARANI KANDA YA ZIWA KUKAGUA SHUGHULI ZA MAHAKAMA
Wenye simu feki watakiwa kubadilisha simu zao kabla ya kuzimwa
Temeke yapiga marufuku ufanyaji wa mazoezi barabara kuu
================================================== 
Mr. Money awawezesha wateja wa Airtel wanaobet kufanya malipo kwa Airtel Money.
 Mkurugenzi
 wa M- bet Dhiresh Kaba (kushoto) akipongezana na Meneja Uhusiano wa 
Airtel Bwana Jackson Mmbando (kulia) mara baada ya kuzindua ushirikiano 
utakaowawezesha wateja watakaobashiri michezo mbalimbali na kisha Mr. 
Money kuwawezesha  kulipia kwa kutumia huduma ya Airtel Money. 
akishuhudia ( nyuma kushoto) ni Meneja wa Airtel Money , Asupya 
Naligingwa.
====================================================== 
MAMIA WAJITOKEZA KUMUAGA MWANAHABARI MAKONGORO OGING' KUZIKWA MKOANI MARA KESHO KUTWA.
Picha ya Mwanahabari Makongoro Oging' enzi za uwai wake. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers alikokuwa akifanyia kazi Makongoro Oging', Eric Shigongo akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye lenye mwili wa marehemu Oging' wakati wa kuagwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ilala ya Amana Dar es Salaam mchana wa leo. Mmiliki wa Blog ya Michuzi, Issa Michuzi akitoa heshima za kwa mwili wa marehemu. Mhariri wa Habari wa Gazeti la Champion, Salehe Ali akitoa heshima za mwisho kwa marehemu. Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Makongoro kulipeleka kwenye gari kabla ya kuanza kwa safari ya kwenda mkoani Mara.
=================================================











Kaimu
 Mkurugenzi wa Idara ya Michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa 
na Michezo Bw. Alex Nkenyenge akisistiza jambo mbele ya wajumbe wa kikao
 kati ya Serikali na wananchi wa eneo la changamani Wilaya ya Temeke 
jijini Dar es Salaam katika kikao cha kujadilina kuhusu wananchi hao 
kuhama eneo hilo kupisha uendelezaji wa eneo hilo kuwa kijiji cha 
Michezo.
Kaimu
 Meneja wa Uwanja wa Taifa Bw. Julius Mgaya akichangia hoja katika kikao
 kati ya Serikali na wananchi wa eneo la changamani Wilaya ya Temeke 
jijini Dar es Salaam katika kikao cha kujadilina kuhusu wananchi hao 
kuhama eneo hilo kupisha uendelezaji wa eneo hilo kuwa kijiji cha 
Michezo.
Mwakilishi
 wa Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bw.Mafuku Rajabu akifafanua jambo katika 
kikao kati ya Serikali na wananchi wa eneo la changamani Wilaya ya 
Temeke jijini Dar es Salaam katika kikao cha kujadilina kuhusu wananchi 
hao kuhama eneo hilo kupisha uendelezaji wa eneo hilo kuwa kijiji cha 
Michezo.
Eneo
 la Changamani kijiji cha Michezo ambalo wananchi wake wanatakiwa kuhama
 ndani ya miezi miwili kupisha uendelezwaji wa eneo hilo kwa ajili ya 
michezo mbalimbali.Picha na Raymond Mushumbusi WHUSM
Waziri
 wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akizungumza 
na wafanyakazi wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), na wadau wa Sekta ya 
Mawasiliano (hawapo pichani), wakati uzinduzi wa nembo mpya ya kampuni 
hiyo na huduma ya 4G LTE jijini Dar es Salaam.
Mjumbe
 wa Bodi ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bi. Edwina Lupembe 
akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa 
Makame Mbarawa, katika hafla ya uzinduzi wa nembo mpya ya kampuni hiyo 
na huduma ya 4G LTE
Afisa
 Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dkt. Kamugisha 
Kazaura akielezea mafanikio ya TTCL kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na 
Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (hayupo pichani), katika hafla ya 
uzinduzi wa nembo mpya ya kampuni hiyo na huduma ya 4G LTE jijini Dar es
 Salaam.
Waziri
 wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akizindua 
nembo mpya ya Kampuni ya Simu ya Tanzania (TTCL), jijini Dar es Salam.
Waziri
 wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akijadiliana 
jambo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dkt. 
Kamugisha Kazaura, wakati wa halfla ya uzinduzi wa nembo mpya ya kampuni
 hiyo na huduma ya 4G LTE jijini Dar es Salaam.
Baadhi
 ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), wakifatilia sherehe 
za uzinduzi wa nembo mpya ya kampuni hiyo na huduma ya 4G LTE jijini Dar
 es Salaam.
Katibu
 Mkuu kiongozi Dkt. John Kijazi katikati akiongea na waandishi wa habari
 hawapo pichani katika hafla fupi ya kupokea msaada wa magodoro 50 
kutoka kwa Umoja wa Makanisa ya pentekoste iliyofanyika katika hospitali
 ya Mwananyamala wa kwanza kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Bw. Ally
 Hapi na wa kwanza kushoto ni katibu Tawala wa Mkoa Bi. Theresia Mbando.
Katibu
 Mkuu kiongozi Dkt. John Kijazi katikati akiongozana na Mkuu wa Wilaya 
ya Kinondoni Bw. Ally Hapi na wa kwanza kulia na wa kwanza kushoto ni 
katibu Tawala wa Mkoa Bi. Theresia Mbando kuelekea wodini kusalimia 
wagonjwa wakati wa hafla fupi ya kupokea msaada wa magodoro 50 kutoka 
kwa Umoja wa Makanisa ya pentekoste iliyofanyika katika hospitali ya 
Mwananyamala .
Mkuu
 wa Wilaya ya Kinondoni Bw. Ally Hapi wa kwanza kushoto akimsikiliza 
mmoja wa wagonjwa wanaotibiwa katika hospitali ya Mwananyamala akitoa 
kero zake kuhusu hospitali hiyo wakati wa hafla fupi ya kupokea msaada 
wa magodoro 50 kutoka kwa Umoja wa Makanisa ya pentekoste iliyofanyika 
katika hospitalini hapo.
Wananchi
 wakitoa malalamiko yao kuhusu huduma zinzotolewa Hospitali ya 
Mwananyamala mbele ya Katibu Mkuu kiongozi Dkt. John Kijazi na Mkuu wa 
Wilaya ya Kinondoni Bw. Ally Hapi hawapo pichani wakati wa hafla fupi ya
 kupokea msaada wa magodoro 50 kutoka kwa Umoja wa Makanisa ya 
pentekoste iliyofanyika katika hospitalini hapo.
Wananchi
 wakitoa malalamiko yao kuhusu huduma zinzotolewa Hospitali ya 
Mwananyamala mbele ya Katibu Mkuu kiongozi Dkt. John Kijazi na Mkuu wa 
Wilaya ya Kinondoni Bw. Ally Hapi hawapo pichani wakati wa hafla fupi ya
 kupokea msaada wa magodoro 50 kutoka kwa Umoja wa Makanisa ya 
pentekoste iliyofanyika katika hospitalini hapo.
Baadhi ya magodoro yaliyopokelewa hospitalini hapo.









No comments:
Post a Comment