TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, March 19, 2016

NEWZ ALERT; RAIS DKT MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA WATENDAJI WAKUU WA TAASISI TATU ZA SERIKALI

 

NEWZ ALERT; RAIS DKT MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA WATENDAJI WAKUU WA TAASISI TATU ZA SERIKALI

WA ADVENTISTA WASABATO WAADHIMISHA SIKU YA MATENDO YA HURUMA KWA KUCHANGIA DAMU LEO


TAARIFA KUTOKA TCRA- TOVUTI NA FACEBOOK ZA KITAPELI












UMOJA WA WALIOSOMA KIGOMA SEKONDARI MWAKA 1991 -1994 WAZINDULIWA


Mwenyekiti wa Umoja wa Waliosoma Shule ya Sekondari Kigoma mwaka 1991 – 1994 (UWKS) Dkt. Nelson Boniface akizungumza wakati wa mkutano mkuu wa kwanza wa Umoja huo uliofanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip Hotel jijini Dar es Salaam.
Katibu Msaidizi na Msemaji wa Umoja wa Waliosoma Shule ya Sekondari Kigoma mwaka 1991 – 1994 (UWKS) Bibi. Elizabeth Bisendo akifafanua jambo wakati wa mkutano mkuu wa kwanza wa Umoja huo uliofanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip Hotel jijini Dar es Salaam.
Mwanasheria na Mratibu wa Umoja wa Waliosoma Shule ya Sekondari Kigoma mwaka 1991 – 1994 (UWKS) Wakili Msomi Marko Anthony Nsimba akielezea namna alivyoshughulikia suala la usajili wa Umoja huo wakati wa mkutano mkuu wa kwanza wa Umoja huo uliofanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip Hotel jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa MKoa wa Morogoro afunga kikao kazi cha 11 cha maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali Mkoani Morogoro

UCHAGUZI KATIKA JIMBO LA KIJITOUPELE UTAFANYIKA KESHO KAMA ULIVYOPANGWA











SIMANJIRO WATAKIWA KUJIUNGA NA CHF

TPB YAKUTANA NA WAHARIRI KUELEZEA MAFANIKIO ILIYOFIKIA KATIKA KIPINDI CHA MIAKA SITA NA KUELEZA MKAKATI MPYA WA "KUIPAISHA"



Ramani ya Tanzania ikionyesha mtandao wa benki ya posta Tanzania, TPB

Uzembe waingiza zaidi ya milion 500 kwa Jeshi la Polisi Dar

IMG_8830Uzembe wa Madereva wawapo bararani umeingiza zaidi ya milion 500 kwa jeshi la polisi kanda maalum kupitia kitengo cha usalama barabarani,Polisi Kanda maalum DSM kupitia kitengo cha Usalama Barabarani kimefanikiwa kukamata magari mbali mbali kwa makosa ya usalama barabarani jumla ya Tshs 577,831,000/= zimekusanywa ikiwa ni tozo kwa makosa hayo. Aidha madereva wametakiwa kuwa waangalifu pindi wawapo bararani ili kuepuka adhabu zitolewazo ili vipatao hivyo viwasaidie katika maisha yao ya kila siku. Kamanda Siro akitoa taarifa ya makosa ya usalama barabarani

TAARIFA YA UCHAGUZI WA JIMBO LA KIJITOUPELE










TAARIFA KUTOKA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA

Tanzanians happy with implementation speed of the proposed construction of the Tanzania-Uganda crude oil pipeline

"The project will be implemented at Dr. Magufuli's  speed" jokes President Yoweri Kaguta Museveni of Uganda when confirming  the project to reporters after talks with his host President Dr. John Pombe Joseph Magufuli on March 1, 2013 in Arusha in the sidelines of the  The 17th Ordinary East African Community (EAC) Heads of State Summit. 

RC PAUL MAKONDA AZUNGUMZA NA WENYEVITI NA MAOFISA WATENDAJI WA JIJI LA DAR ES SALAAM UKUMBI WA MWALIMU NYERERE LEO

TAMKO LA UMOJA WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA JUU YA KUTEKWA KWA MWANDISHI WA HABARI WA SAUTI YA UJERUMANI ( DW ) SALMA SAID.








WAFANYAKAZI WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF WASHIRIKI BONANZA MAALUM JIJILI DAR.

 Meneja wa Fedha wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Musoffe Laurance, akimkabidhi Cheti mshindi wa kwanza waMbio za Magunia kwa wanawake, Magreth John, aliyeibuka kidedea katika mbio hizo wakati  wa Bonanza maalum la Wafanyakazi wa PPF lililofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Ustawi wa Jamii, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, leo Machi 19,2016. 
 Mfanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, akishiriki mchezo wa kukimbiza kuku, wakati wa Bonanza maalum la Wafanyakazi wa Mfuko huo lililofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Ustawi wa Jamii,jijini Dar es Salaam,leo Machi 19,2016.
 Meneja wa Fedha wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Musoffe Laurance, akimkabidhi Cheti mshindi wa kwanza wa Mbio za Magunia kwa Wanaume, Tumainieli Maleko, aliyeibuka kidedea katika mbio hizo wakati  wa Bonanza maalum la Wafanyakazi wa PPF lililofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Ustawi wa Jamii, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, leo Machi 19,2016.
 Meneja wa Fedha wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Musoffe Laurance, akimkabidhi Cheti mshindi wa kwanza wa Mbio za mita 200 kwa Wanawake, Susan Ringo, aliyeibuka kidedea katika mbio hizo wakati  wa Bonanza maalum la Wafanyakazi wa PPF lililofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Ustawi wa Jamii, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, leo Machi 19,2016. 

Friday, March 18, 2016

MAGAZETI YETU YA LEO JUMAMOSI VICHWA VYA HABARI HIVYO HAPO


BREKING NEWSSS: WABUNGE WA CUF WAJIVUA UBUNGE

CUF
Katika barua ambayo inaonekana kusainiwa na Naibu Katibu Mkuu wa CUF aliyetajwa kwa jina la Ahmed Nassor Mazrui na kusambazwa kwa wanahabari leo Machi 18,2016, imeeleza kuwa wabunge wote wa Chama cha Wananchi (CUF) wamejiondoa katika Bunge la Tanzania katika kipindi cha 2015-2020 kwa kile kinachotajwa kama kukiukwa kwa sheria za uchaguzi na kuporwa haki katika uchaguzi wa Zanzibar.

Taarifa hiyo inaonekana kutofautiana na jina la katibu mkuu wa chama hicho ambaye anajulikana kwa jina la Nassor Ahmed Mazrui. 

Chini ni nakala ya barua ambayo imesambawa....
Baada ya muda Mfupi Ndg Ismail Jussa ameweza kuikanusha Barua hiyo kwa kuandika ujumbe huu kupitia Akaunti yake ya Facebook.

IDARA YA UHAMIAJI YAFANYA MABADILIKO KWA WAFANYAKAZI 200 KATIKA VITUO VYA KAZI.

WACHINA WA KAGASHEKI WAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA.







UMOJA WA VYAMA VYA SIASA VISIVYO NA UWAKILISHI BUNGENI VYATOA TAMKO LA KUSHIRIKI UCHAGUZI WA MAREJEO ZANZIBAR.


 Mwenyekiti wa Makatibu wa  Umoja wa Vyama visivyo na uwakilishi Bungeni, ambae pia ni Katibu wa Chama cha SAU, Ali Kaniki  akizungumza na wandishi wa Habari katika ukumbi wa Studio ya kurikodia Rahaleo kuhusu kushiriki uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar tarehe 20 mwezi huu.