Meneja
 wa Fedha wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Musoffe Laurance, akimkabidhi 
Cheti mshindi wa kwanza waMbio za Magunia kwa wanawake, Magreth John, 
aliyeibuka kidedea katika mbio hizo wakati  wa Bonanza maalum la 
Wafanyakazi wa PPF lililofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Ustawi wa 
Jamii, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, leo Machi 19,2016. 
 Mfanyakazi
 wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, akishiriki mchezo wa kukimbiza kuku, 
wakati wa Bonanza maalum la Wafanyakazi wa Mfuko huo lililofanyika 
kwenye Uwanja wa Chuo cha Ustawi wa Jamii,jijini Dar es Salaam,leo Machi
 19,2016.
 Meneja
 wa Fedha wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Musoffe Laurance, akimkabidhi 
Cheti mshindi wa kwanza wa Mbio za Magunia kwa Wanaume, Tumainieli 
Maleko, aliyeibuka kidedea katika mbio hizo wakati  wa Bonanza maalum la
 Wafanyakazi wa PPF lililofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Ustawi wa 
Jamii, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, leo Machi 19,2016.
 Meneja
 wa Fedha wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Musoffe Laurance, akimkabidhi 
Cheti mshindi wa kwanza wa Mbio za mita 200 kwa Wanawake, Susan Ringo, 
aliyeibuka kidedea katika mbio hizo wakati  wa Bonanza maalum la 
Wafanyakazi wa PPF lililofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Ustawi wa 
Jamii, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, leo Machi 19,2016. 
 Meneja
 wa Fedha wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Musoffe Laurance, akimkabidhi 
Cheti mshindi wa kwanza wa Mbio za Mita 200 kwa Wanaume, Elias Joseph, 
 aliyeibuka kidedea katika mbio hizo wakati  wa Bonanza maalum la 
Wafanyakazi wa PPF lililofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Ustawi wa 
Jamii, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, leo Machi 19,2016.
 Wafanyakazi
 wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakichuana katika mchezo wa mbio za 
Magunia wakati wa Bonanza maalum la Wafanyakazi wa PPF lililofanyika 
kwenye Uwanja wa Chuocha Ustawi wa Jamii, Kijitonyama jijini Dar es 
Salaam, leo Machi 19,2016. Katika mbio hizo Magreth John (mbele) 
aliibuka kidedea.
  Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,  wakishiriki mbio za Kizunguzungu, wakati wa Bonanza hilo.
 Meneja
 wa Fedha wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Musoffe Laurance, akimkabidhi 
Cheti mshindi wa pili wa Mbio za Mita 200 kwa Wanaume, Borrice Bwire, 
aliyeibuka kidedea katika mbio hizo wakati  wa Bonanza maalum la 
Wafanyakazi wa PPF lililofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Ustawi wa 
Jamii, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, leo Machi 19,2016.
 Tumainieli
 Maleko, akimalizia mbio za magunia na kushika nafasi ya  kwanza wakati 
wa Bonanza maalum la Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa 
PPF,lililofanyika leo Machi 19,2016 kwenye Uwanja wa Ustawi wa 
Jamii,Jijini Dar es Salaam.
 Wafanyakazi
 wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakishiriki mazoezi ya pamoja wakati wa 
Bonanza maalum la Wafanyakazi wa PPF lililofanyika kwenye Uwanja wa 
Chuocha Ustawi wa Jamii, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, leo Machi 
19,2016.
 Wafanyakazi
 wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakichuana katika mchezo wa mbio za 
Magunia wakati wa Bonanza maalum la Wafanyakazi wa PPF lililofanyika 
kwenye Uwanja wa Chuocha Ustawi wa Jamii, Kijitonyama jijini Dar es 
Salaam, leo Machi 19,2016. Katika mbio hizo Merey Sammy  (kushoto) 
alishika nafasi ya pili na Mery Malilo (kulia) aliibuka mshindi wa 
tatu,huku nafasi ya kwanza ikichukuliwa na Magreth John (hayupo pichani) 
 Mfanyakazi
 wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Anthony Mkinga, akiruka kujaribu kumkamata
 Kuku, wakati wa mchezo huo wa kufukuza kuku katika Bonanza maalum la 
Wafanyakazi wa PPF lililofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Ustawi wa 
Jamii, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, leo Machi 19,2016.
  wa
 Mfuko wa Pensheni wa PPF,wakishiriki mchezo wa kuvuta Kamba wakati wa 
Bonanza maalum la Wafanyakazi wa Mfuko huo lililofanyika kwenye Uwanja 
wa Chuo cha Ustawi wa Jamii, Kijitonyama jijini Dar es Salaam,leo Machi 
19,2016. Katika mchezo huo Wanawake waliibuka kidedea kwa kuwaburuza 
wanaume.
No comments:
Post a Comment