TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, March 15, 2014

MCHEZO WA TASWA F.C Vs DACICO F.M. GUMZO KIBAMBA, JIJINI DAR

 Kikosi cha Wachezaji wa TASWA Qween
 Mwenyekiti wa Taswa Majuto Omary, akifafanua jambo mara baada ya kuwasili makao makuu ya chuo cha Uandishi wa Habari na Utawala, Dar es Salaam City College(DACICO), Kibamba CCM Jijini  Dar es Salaam.
 Wachezaji wa TASWA, Ally Mkongwe na Mbozi, wakifuatilia kwa makini mazungumzo na Utambulisho wa Chuo cha Uandishi wa Habari na Utawala DACICO, wakati wa Ziara ya Taswa Makao makuu ya DACICO, Jijini Dar es Salaam.
 Wanafunzi wa DACICO, Mbeya pamoja na wanafunzi wa DACIO Dar, wakifuatilia kwa makini 
 Mwenyekiti wa Taswa Majuto Omary, akifafanua jambo mara baada ya kuwasili makao makuu ya chuo cha Uandishi wa Habari na Utawala, Dar es Salaam City College(DACICO), Kibamba CCM Jijini  Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa DACICO, Idrisa Mziray, akifafanua jambo wakati wa Hafla hiyo jana,
 Baadhi ya Wachezaji wa Taswa wakiwa kwenye kikao na wachezaji wa Dacico F.c.com
 Kikosi cha Timu ya DACICO Qween,  
 Wachezaji wa DACICO wakisali kabla ya pambano kuanza.
 Kikosi cha DACICO
 Wachezaji wa TASWA F.C na DACICO F.M.COM, Wakiwa kwenye picha ya Pamoja muda mfupi kabla ya pambano kuanza.
 Mkurugenzi wa DACICO .Idrisa Mziray, akisalimiana na wachezaji wa Timu ya Taswa F.c
 Wachezaji wa timu ya za Netball  TASWA F.C vs DACICO F.M.COM wakiwa kwenye Picha ya pamoja muda mfupi kabla ya pambano lao kwenye dimba la Kibwegele
Wachezaji wa timu ya Netball ya TASWA F.C wakiwa kwenye Picha ya pamoja muda mfupi kabla ya pambano lao na DACICO F.M.COM

Mamlaka za Malaysia zatoa taarifa kuwa ndege inayodaiwa kupotea ILITEKWA


Malaysia's Minister of Transport Hishamuddin Hussein, center, Azharuddin Abdul Rahman, director general of the Malaysian Department of Civil Aviation, left and Malaysia Airlines Group CEO Ahmad Jauhari Yahya, right, listen to questions from the media during a press conference regarding missing Malaysia Airlines jetliner MH370, Friday, March 14, 2014 in Sepang, Malaysia.
Wong Maye-E, AP
KUALA LUMPUR, Malaysia -- Malaysia's prime minister says the disappearance of Malaysia Airlines Flight 370 appears to be "deliberate."
Speaking to the press early Saturday, Prime Minister Najib Razak said the investigation has refocused onto the crew and passengers aboard the missing plane. He added that despite growing evidence to suggest a possible hijacking or sabotage, all possibilities are still being investigated.
The prime minister also said that authorities are now trying to trace the plane across two possible "corridors" -- a northern corridor from northern Thailand through to the border of Kazakstan and Turkmenistan, and a southern corridor from Indonesia to the southern Indian Ocean -- and that search efforts in the South China Sea would be ended.
"Clearly the search for MH370 has entered a new phase," he said.
Earlier, a Malaysian government official who is involved in the investigation said investigators have concluded that one of the pilots or someone else with flying experience hijacked the missing Malaysia Airlines jet.
The official said no motive has been established, and it is not yet clear where the plane was taken. The official spoke on condition of anonymity because he was not authorized to brief the media.
The official said that hijacking was no longer a theory. "It is conclusive."
The Boeing 777's communication with the ground was severed under one hour into a flight March 8 from Kuala Lumpur to Beijing with 239 aboard. Malaysian officials have said radar data suggest it may have turned back and crossed back over the Malaysian peninsula westward, after setting out toward the Chinese capital.
Piracy and pilot suicide have been among the scenarios under study as investigators grew increasingly certain the missing Malaysia Airlines jet reversed course and headed west after its last radio contact with air traffic controllers.The latest evidence suggests the plane didn't experience a catastrophic incident over the South China Sea as was initially suspected. Some experts had theorized that one of the pilots, or someone else with flying experience, hijacked the plane or committed suicide by plunging the jet into the sea.
A U.S. official said Friday in Washington that investigators were examining the possibility of "human intervention" in the plane's disappearance, adding it may have been "an act of piracy." The official, who wasn't authorized to talk to the media and spoke on condition of anonymity, said it also was possible the plane may have landed somewhere.
The official said key evidence suggesting human intervention was that contact with the Boeing 777's transponder stopped about a dozen minutes before a messaging system on the jet quit. Such a gap would be unlikely in the case of an in-flight catastrophe.
A Malaysian official, who also declined to be identified because he is not authorized to brief the media, said only a skilled aviator could navigate the plane the way it was flown after its last confirmed location over the South China Sea. The official said it had been established with a "more than 50 percent" degree of certainty that military radar had picked up the missing plane after it dropped off civilian radar.
Earlier Malaysia's acting transport minister, Hishammuddin Hussein, had said investigators were still trying to establish with certainty that military radar records of a blip moving west across the Malay Peninsula into the Strait of Malacca showed Flight MH370.
"I will be the most happiest person if we can actually confirm that it is the MH370, then we can move all (search) assets from the South China Sea to the Strait of Malacca," he told reporters. Until then, he said, the international search effort would continue expanding east and west from the plane's last confirmed location.
Two communication systems on Malaysia Airlines Flight 370 were shut down separately in the moments before the flight disappeared from radar on Saturday; a data system and two transponders which relayed information about the jet's speed, altitude and location, CBS News' Bob Orr reported.
While a cascading electrical problem could feasibly cause that kind of staged electrical failure, Orr said it's also entirely possible somebody on the plane intentionally turned off the systems. And investigators say there's further evidence suggesting the jet did not crash immediately after being lost on radar; a transmitter on the plane tried for another four hours to ping satellites. That's an indication to analysts that the jet continued to fly for some time -- possibly as far as 2,500 miles from where it was last detected.
Sources say it is also possible that the plane may have spend some of that time on the ground with its engines still running.
Officials have told CBS News the plane had enough fuel to carry it out to the west into the Indian Ocean, so the search is growing even larger. While they believe it likely crashed in water, it is also possible landed somewhere.
Sources told the Reuters news agency on Friday, meanwhile, that the path Flight 370 appears to have taken after diverting from its intended route strongly suggests that a trained pilot was still in control of the aircraft.
The news agency said investigators believe the missing jet appeared to follow a known air navigational route, based on the radar blips seen by the Malaysian military.
That would have taken the plane into the Andaman Sea and toward the Indian Ocean, and according to Reuters, "could only have been set deliberately, either by flying the Boeing 777-200ER jet manually or by programming the auto-pilot." Reuters cited another source as saying the official investigation was increasingly focused on the possibility that someone with training as a pilot deliberately diverted the flight.
"What we can say is we are looking at sabotage, with hijack still on the cards," a senior Malaysian police official told Reuters.
The New York Times, quoting American officials and others familiar with the investigation, reported on Friday that the flight altered its course more than once after it lost contact with ground control and that it made significant changes in altitude. The Times said radar signals appear to show the airplane climbing to 45,000 feet and making a sharp turn to the west. That altitude is above the approved limit for a Boeing 777-200.
Then, the Times reported, the plane descended unevenly to an altitude of 23,000 feet, below normal cruising levels, as it approached the island of Penang, where it climbed again and flew northwest toward the Indian Ocean.
Boeing offers a satellite service that can receive a stream of data on how an aircraft is functioning in flight and relay the information to the plane's home base. Malaysia Airlines didn't subscribe to that service, but the plane still had the capability to connect with the satellite and was automatically sending signals, or pings, said the U.S. official, who spoke on condition of anonymity because he wasn't authorized to discuss the situation by name.
The signal, called a "handshake" does not transmit data, but just tells the satellite that the plane is still in the sky. Once an hour for four or five hours, the plane communicated with a satellite, according to a U.S. official speaking on background. Then the communication stopped - the plane either crashed on land or in the water, or it landed somewhere and turned off the engines.
The communications back and forth do not give a specific location for the plane. But they indicate the direction the satellite would have to tilt its antenna to find the plane though not where on that arc the plane would be.
Scores of aircraft and ships from 12 countries are involved in the search, which reaches into the eastern stretches of the South China Sea and on the western side of the Malay Peninsula, northwest into the Andaman Sea and the Indian Ocean.
CBS News national security correspondent David Martin reports that the USS Kidd has been assigned a search area in the Andaman Sea both east and west of the Andaman Islands. The P-8, which was scheduled to fly its first mission Friday tonight, will cover a grid that stretches west to the southern part of the Bay of Bengal.
India said it was using heat sensors on flights over hundreds of Andaman Sea islands Friday and would expand the search for the missing jet farther west into the Bay of Bengal, about 1,000 miles to the west of the plane's last known position.
A team of five U.S. officials with air traffic control and radar expertise - three from the U.S. National Transportation Safety Board and two from the Federal Aviation Administration - has been in Kuala Lumpur since Monday to assist with the investigation.
White House spokesman Jay Carney sidestepped questions Friday about the possibility of human intervention in the plane disappearance, saying only that U.S. officials were assisting in the investigation.
"I don't have conclusive answers and I don't think anyone does," Carney said.
Malaysia has faced accusations it isn't sharing all its information or suspicions about the plane's final movements. It insists it is being open, and says it would be irresponsible to narrow the focus of the search until there is undeniable evidence of the plane's flight path.
At this point, there is no evidence of any wrongdoing on the part of the two pilots, though Malaysian police have said they are looking at their psychological background, their family life and connections.
Zaharie Ahmad Shah, 53, and Fariq Abdul Hamid, 27, have both been described as respectable, community-minded men.
Zaharie joined Malaysia Airlines in 1981 and had more than 18,000 hours of experience. His Facebook page showed an aviation enthusiast who flew remote-controlled aircraft, posting pictures of his collection, which included a lightweight twin-engine helicopter and an amphibious aircraft.
Fariq was contemplating marriage after having just graduated to the cockpit of a Boeing 777. He has drawn the greatest scrutiny after the revelation that in 2011, he and another pilot invited two women boarding their aircraft to sit in the cockpit for a flight from Phuket, Thailand, to Kuala Lumpur.
Mike Glynn, a committee member of the Australian and International Pilots Association, said he considers pilot suicide to be the most likely explanation for the disappearance, as was suspected in a SilkAir crash during a flight from Singapore to Jakarta in 1997 and an EgyptAir flight in 1999.
"A pilot rather than a hijacker is more likely to be able to switch off the communications equipment," Glynn said. "The last thing that I, as a pilot, want is suspicion to fall on the crew, but it's happened twice before." Glynn said a pilot may have sought to fly the plane into the Indian Ocean to reduce the chances of recovering data recorders, and to conceal the cause of the disaster.
Meanwhile, according to the South China Morning Post, Chinese scientists reported they had detected a small "seismic event" on the sea floor between Vietnam and Malaysia - where the plane was located at the approximate time that it disappeared last Saturday.
However, Paul Caruso of the U.S. Geological Survey told USA Today that it was "unlikely" that a plane crash would be strong enough to produce the reported seismic event.

SHAMLA SHAMLA MECHI YA YANGA NA MTIBWA SUGAR LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA UWANJA WA JAMHURI NDIVYO ILIVYO.

MFANYABIASHARA WA KUUZA CHIPS (MWENYE JEZI YA YANGA) AKIWAHUDUMIA WATEJA WAKE MTAA WA KITOPE.

 
JEZI ZA YANGA ZIKIWA ZIMETANDWA CHINI NA ZINGINE KUTUNDIKWA JUU YA MITI.

 MASHABIKI WA SOKA MANISPAA YA MOROGORO NA VITONGOJI VYAKE WAKIONDOKA ENEO LA JAMHURI BAADA YA YANGA KUSHINDWA KUTOKEA UWANJA WA JAMHURI JANA JIONI.
BASI LA MTIBWA SUGAR LIKIGEUZA KUONDOA ENEO HILO BAADA YA KUKATALIWA NA VIONGOZI WA YANGA AMBAO TIMU YAO HAIKUFANYA MAZOEZI KATIKA UWANJA HUO JANA.
      MASHABIKI WAKIWA WAMEZIZUNGUKA BASI LA MTIBWA SUGAR BAADA YA   KUKATALIWA KUINGIA UWANJA WA JAMHURI JANA JIONI.

WANAKALENGA WAPATA UHAKIKA WA ULINZI SIKU YA UCHAGUZI-JESHI LA POLISI

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa,Ramadhani Mungi akizungumza na Waandishi wa Habari  kutoka vyombo mbalimbali,mapema leo asubuhi kwenye Ofisi zake,kuhusiana na mambo mbalimbali yaliyohusu kuelekea Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Kalenga,mkoani Iringa.
========   ======  ===========
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI
JESHI LA POLISI TANZANIA
“PRESS RELEASE”

                              Ndugu waandishi wa habari , kwa niaba ya askari Polisi wa Mkoa wa Iringa, nitumie fursa hii kuwakaribisha hapa ofisini kwetu.

                              Ndugu zangu tumeitana hapa asubuhi hii ili niweze kuwapa taarifa ya usalama katika Mkoa wetu wa Iringa hususani katika Jimbo la Kalenga katika kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi wa Jimbo la Kalenga na usalama wa siku ya uchaguzi wenyewe.Ili iwe rahisi kueleweka taarifa hii nitaitoa kwa kifupi sana kwa kuigawa katika maeneo matatu. 

Eneo la kwanza ni juu ya wapi tunataka tupafikie  ( Where we want to go ), eneo la pili ni lile la wapi tulipo ( Where are we? ) na eneo la tatu ni jinsi gani tutafika huko ( How do we get there ). Tuanze    na  wapi   tunataka   tupafikie. Sisi  Polisi  Mkoa  wa  Iringa  tunataka  wananchi  wa  Kalenga  wapinge  kura  kwa  amani  na  utulivu  mkubwa   siku  ya   jumapili  tarehe  16/3/2014. Hii   ndio  dila  yetu  na  tutahakikisha  tunafika  hapo.

Kuhusu  wapi  tulipo  sasa, naomba   niwaelezeni  kwa  ufupi  sana  matukio  ya  kijinai  kuanzia  tarehe  19/02/14  mpaka   leo. Ndugu  zangu, kuanzia   tarehe  hiyo  mpaka  tarehe  2/03/2014  takribani  wiki  mbili  hakukuwa  na tukio  lolote  la  uvunjifu  wa  amani   lililokuwa  limepokelewa  katika  vituo  vyetu  vya  Polisi. 

Hali  ilianza  kubadilika  tarehe  3/3/2014  ambapo  baadhi  ya  waandishi  walifika  ofisi  kwangu  na  kunieleza  kuwa  kumetoka  kwenye  mkutano  wa  CHADEMA  ambapo  wameelezwa  na  chama  hicho  kuwa   usiku  wa  siku  hiyo   walimkamata  mtu  mmoja  kwa  kosa  la   kujaribu  kuchoma  moto  nyumba  waliokuwa  wakiishi  wafuasi   wao  katika  kijiji cha  WASA. 

Waandishi  hao  walinitaka  nithibitishe  kutendeka   kwa  kosa  hilo  na  walieleza  kuwa  wameelezwa  kuwa  bado  halijaripotiwa  kituoni. Mimi  nilikataa  kusema  lolote  kuhusu   hilo  kwani   lilikuwa  bado  halijaripotiwa  Polisi.  

Tarehe  4/03/2014  nilifuatwa   tena  na  baadhi  ya  waandishi  na  kunieleza  kuwa  siku  hiyo  waliitwa  na  CCM   na  kuelezwa  kuwa  siku  ya  tarehe  27/2/2014  walitegewa  misumari  katika  kijiji  cha  WASA  ili  mabasi   yaliyokuwa  yamebeba   wafuasi  wao  yaweze  kutobolewa  magurudumu  yake, pia  nao  walisema  tukio  hilo  halijaripotiwa  Polisi. Mimi  nilikataa  kulizungumzia   swala  hilo.

Ndugu wanahabari,  vitendo   vilivyofanywa  na  vyama  hivyo  vililenga  kuanzisha  propaganda  za   kisiasa   kwa   kutumia  uhalifu  kwa   kupitia  vyombo  vya   habari. Sisi   Polisi  tulibaini   hali  hiyo  na  ndiyo  sababu  tuliamua   kuwa  kimya  na  nyinyi  wenzetu  kwa  kuzingatia  maadili  ya  kazi  zenu  pia   mlikaa  kimya.     Kuanzia  hapo  vyama   vilianzisha   mashindano  ya   kuripoti  kesi  zao  Polisi. Leo  hii  vyama  hivyo  vimeripoti  kesi  ishirini  na  moja   ambazo  zilisababisha kukamatwa kwa wafuasi (19) wa vyama hivyo viwili.
Ndugu waandishi, kati ya kesi hizo ishirini na moja, kesi kumi na tisa (19) zile ambazo hazina madhara ya moja kwa moja kwa binadamu ama mali, kesi hizo ni  zile ndogondogo sana, kama vile kuchana mabango, kuteremsha bendera, kuchana vipeperushi, kutukanana n.k. kesi tatu zilikuwa zile zenye madhara kwa binadamu na mali ambazo ni kupigana hadharani, kujeruhi na kuharibu mali. Kati ya kesi ishirini na moja (21), kesi kumi upelelezi wake umekamilika na majalada yake yamefikishwa kwa mwanasheria wa serikali.             
Ndugu waandishi, katika kesi hizo Polisi tumeibaini mengi mfano CHADEMA kilikuwa kikitoa malamiko kuwa tumeacha kumkamata ndugu hassan mtenga mtuhumiwa wa kesi moja iliyokuwa imefunguliwa dhidi yake. Shutuma hizo hazina msingi kwani kesi iliyofunguliwa dhidi ya mtu huyo haikuwa ya jinai bali ya madai na tuliwajulisha hivyo. Nia ya kufanya hivyo ilikuwa kuifanya jamii iamini kuwa Polisi ni dhaifu na wenye kuonyesha upendeleo katika kushughulikia kesi za uchaguzi. Nashukuru Polisi tulikuwa watulivu, hatukujibu na jamii imetuelewa sana.
Ndugu waandishi, sijui mlijulishwa na nani kwamba Padri mmoja alifungwa kamba na alipingwa na kuburuzwa. Nanyi bila ya kuthibitisha kwetu mkaandika habari hiyo. Tuwaeleze kuwa mtu huyo ni miongoni mwa watuhumiwa tuliowakamata katika moja ya makosa yaliyotendeka, tulimhoji, aliandikwa maelezo yake na alipewa dhamana. Hata siku moja hajawahi kutoa taarifa Polisi juu ya matukio aliyotendewa. Nia ya kutangaza taarifa hiyo ni kuzua hofu kwa wananchi na kutaka kuchochea chuki kwa wafuasi wa dhehebu lake na wale wa dini yake.
Ndugu waandishi, pamoja na matukio hayo polisi tumekuwa tukipokea taarifa za vitisho vya kuwepo kwa watu mbalimbali kutoka kwa vyama vyote walioingizwa mkoani humu kwa nia ya kutenda vitendo vya uvunjifu wa amani. Aidha, tumewasikia viongozi wa vyama wakitamba kuingiza maelfu ya watu mkoani mwetu. Kutoka mikoa mbalimbali ikiwemo Arusha, Mbeya kwa visingizio vya kulinda kura.
Sasa nataka niwaeleze kuwa sheria iko wazi kabisa, kila kituo cha kupigia kura kitakuwa na wakala wa chama kinachoshiriki katika uchaguzi huo na hao ndio wawakilishi wa chama hicho na walinzi halali wa uchaguzi ni askari wa Jeshi la Polisi. 
Kufuatia hali hiyo mambo yafuatayo yanasisistizwa sana.
1.   Hatutaki kuona walinzi wa chama  chochote  katika Jimbo la Kalenga. Jukumu la kulinda uchaguzi, maisha na mali ya wana Kalenga ni la JESHI LA POLISI.
2.   Hatutaki kuona watu wasiokuwa na shughuli maalumu wanapitapita katika maeneo ya kupigia kura.
3.   Siku ya uchaguzi si siku ya kampeni. Hatutaki kuona helikopita za  vyama  vyote  zenye kuashiria kufanya kampeni.
Nawaasa watu wote hasa wale waliotoka nje ya Iringa, sisi huku Iringa tunapenda sana amani kuliko kitu chochote kile hivyo ikiwa wameletwa kama MAJESHI YA KUKODIWA ili kuharibu amani ya Kalenga kama walivyozoea kufanya huko walikotoka, Sisi Polisi na wana Kalenga tupo imara, tumejipanga vizuri kukabiliana nao.

Aidha, napenda kuwatoa hofu wana kalenga, wasiwe na wasiwasi kabisa, sisi Polisi Iringa tupo imara na tumejipanga vizuri katika kuwalinda kikamilifu. Nawaomba wajitokeze kwa wingi sana siku ya kupiga kura na wapige kura zao kwa uhuru kabisa.

Ndugu waandishi, nawashukuru sana kwa jinsi mlivyofanya kazi zenu kwa ueledi mkubwa. Hata siku moja hatujawahi kusikia ama kusoma habari za uchochezi kwa kushabikia chama chochote kile.

BILIONEA WA KIMAREKANI AKOLEZA VITA DHIDI YA UJANGILI.

Rais Jakaya Kikwete, akipokea mfano wa helikopta kutoka kwa mtoto wa bilionea wa pili duniani, Warren Buffett, Howard ambaye familia yake kupitia Mfuko wa Warren Buffett Foundation watatoa helikopta moja itakayotumika kupambana na ujangili katika Pori la Akiba la Selous. Picha ya Wizara ya Maliasili na Utalii.

DAR ES SALAAM. 
FAMILIA ya bilionea namba mbili nchini Marekani, Warren Buffett imeunga mkono juhudi za kupambana na ujangili nchini kwa kuchangia helikopta moja.

Familia ya Warren Buffett imeamua kutoa msaada huo kupitia Mfuko wa Howard Buffett Foundation, baada ya kuridhishwa na hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Serikali.

Helikopta hiyo itatumika kwa ajili ya kusaidia mapambano dhidi ya ujangili katika hifadhi za taifa na mapori ya akiba nchini.

Msaada huo ulikabidhiwa juzi kwa Rais Jakaya Kikwete na mtoto wa bilionea huyo, Howard Buffett, ambaye yuko nchini kwa mapumziko ya kitalii.

Akikabidhi mfano wa helkopta kwa Rais Kikwete, Buffett alisema amevutiwa na kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya Tanzania katika kukabiliana na ujangili hususan wa tembo na faru.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu alisema wamepokea kwa furaha ufadhili huo, ambapo utahusisha mafunzo kwa marubani wawili nchini Marekani ama Afrika Kusini kutokana na matakwa ya wizara.

“Wametuambia pesa ipo tayari ila ni jukumu letu sisi kama Serikali kuchagua aina ya helikopta tunayoitaka. Itakuwa na uwezo wa kubeba watu sita na kwa sasa tunaangalia kama tuchukue Bell ama Ecopter, wataalamu wanashughulikia,” alisema.MWANANCHI

PICHA ZA AJALI YA BASI LA JAPANESE WILAYANI MAKETE NJOMBE

 Basi la kampuni ya Japanese Express linalofanya safari zake kati ya Makete - Njombe likiwa limetumbukia mtoni mpakani mwa kata ya Lupalilo na tandala wilayani Makete mkoani Njombe, zaidi tazama picha zifuatazo hapa chini.
Katika ajali hii, abiria wameumia na kutibiwa katika hospitali ya Ikonda, hakuna abiria aliyefariki na kwa mujibu wa abiria waliokuwemo kwenye basi hilo wamesema chanzo cha ajali hiyo ni basi hilo kukutana na gari jingine kwenye daraja hili jembamba hivyo katika harakati za kumpisha mwenzake ili wasigongane uso kwa uso, ndipo basi hili lilipopoteza uelekeo na kutumbukia mtoni. Basi hilo lilikuwa likitokea Njombe kuja Makete mjini.

TEMESA SASA KUJIENDESHA KIBIASHARA.


Picha ya pamoja ya Katibu mkuu wizara ya ujenzi Mhandisi, Mussa Iyombe (wa nne mstari wa mbele waliokaa kutoka kushoto) akiwa na wajumbe wa baraza la wafanyakazi kutoka kwenye vituo vya temesa mikoa ya Tanzania bara mara baada ya Katibu huyo kufungua mkutano wa baraza la wafanyakazi la wakala wa ufundi na umeme (TEMESA) inayowashirikisha wawakilishi wafanyakazi wa wakala kwa mikoa yote ya Tanzania bara uliofanyika hoteli ya Glonency mkoani Morogoro.


Katibu mkuu wizara ya ujenzi Mhandisi, Mussa Iyombe kushoto akimsikiliza Mtendaji Mkuu wa wakala wa ufundi na umeme (Temesa) Mhandisi Marcellin Magesa bara baada ya Katibu huyo kufungua mkutano wa baraza la wafanyakazi la wakala wa ufundi na umeme (TEMESA) inayowashirikisha wawakilishi wafanyakazi wa wakala kwa mikoa yote ya Tanzania bara unaofanyika hoteli ya Glonency mkoani Morogoro.
Katibu mkuu wizara ya ujenzi Mhandisi, Mussa Iyombe akizungumza jambo wakati wa mkutano wa baraza la wafanyakazi la wakala wa ufundi na umeme (TEMESA) inayowashirikisha wawakilishi wafanyakazi wa wakala kwa mikoa yote ya Tanzania bara unaofanyika hoteli ya Glonency mkoani Morogoro. kulia ni Mtendaji Mkuu wa wakala wa ufundi na umeme (Temesa) Mhandisi Marcellin Magesa.
Hapa Katibu Mkuu Iyombe alifurahia jambo na Mwenyekiti wa bodi ya ushauri wa wakala.
Mtendaji Mkuu wa wakala wa ufundi na umeme (Temesa) Mhandisi Marcellin Magesa akisoma taarifa katika mkutano huo.
Sehemu ya wajumbe wakifuatilia matukio mbalimbali katika mkutano huo.




TAASISI ya serilai ya wakala wa ufundi na umeme (TEMESA) imetakiwa kujiendesha kibiashara ili kuepukana na changamoto zinazozikabili ikiwemo kutengewa bajeti ya kujiendesha kutoka ndani ya serikali.
Akizungumza na wajumbe wa baraza la wafanyakazi kutoka kwenye vituo vya temesa mikoa ya Tanzania bara, Katibu mkuu wa wizara ya ujenzi, Mussa Iyombe alisema kuwa ili Temesa iendelee kudumu ni lazima ijiendeshe kibiashara itayosaidia kuondoa baadhi ya changamoto katika taasisi hiyo.
Iyombe alisema kuwa kabla ya kuanza mikakati ya kujiendesha kibiashara, viongozi wa juu wanapaswa kutoa mafunzo ya kibiashara kwa wafanyakazi watendaji ili kuweza kupata mbinu stahiki za temesa kujiendesha itayosaidia kupata vyanzo vingi vya fedha na hiyo itasaidia kuwa tegemezi katika bajeti kutoka serikalini.
“Njia ya kuepukana na utegemezi katika bajeti zenu kutoka serikalini, dawa yake temesa kujiendesha kibiashara kwani itasaidia kupunguza baadhi ya changamoto”. Alisema Iyombe.
Aliongeza kuwa temesa ikijiendesha kibiashara itaongeza ufanisi wa kazi zake katika kutoa huduma ndani na nje serikali.
Naye Mtendaji mkuu wa wakala wa ufundi na umeme (TEMESA) Mhandisi Marcellin Magesa akizungumza wakati wa mkutano wa baraza la wafanyakazi wa mwaka 2013/2014 na wajumbe hao alieleza kuwa mkutano hufanyika baada ya kukamilika kwa kwa maandalizi ya mpango na bajeti ya wakala kwa mwaka 2014/2015 pamoja na mambo mengine.
Magesa alisema kuwa mkutano huo husaidia kupitisha bajeti ya ya wakala kwa mwaka wa fedha 2014/2015 ambapo wakala wa ufundi na umeme (TEMESA) ndiyo iliyopewa dhamana na serikali ya kusimamia shughuli mbalimbali ikiwemo pamoja na utengenezaji wa magari, pikipiki, mitambo ya serikali, usimikaji wa mifumo ya umeme, elektroniki, viyoyozi na majokofu katika nyumba za serikali.
“Licha ya kupewa ushauri na Katibu mkuu wa Temesa kujiendesha kibishara taasisi hii imekuwa na changamoto mbalimbali na moja ya changamoto hizo ni kuwepo kwa madeni makubwa kutoka ndani ya serikali”. Alisema Mhandisi Magesa.

Shughuli zinafanya na Temesa ni pamoja na ukodishaji wa magari ya viongozi (V.I.P), mitambo mbalimbali, usimamizi wa vivuko vya serikali nchini na usanifu wa mifumo ya umeme, tehama, viyoyozi katika majengo ya serikali.

ASKARI MOSES ALPHAGE ALAMBA MILIONI 2 KWA BIDII YA KAZINI

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova (wa tatu toka kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na Askari wa usalama barabarani, Moses Alphage (wa pili kushoto) aliyeibuka kidedea kwenye programu ya kuhamasisha na kupongeza utendaji kazi wa askari wa usalama barabarani jijini Dar es salaam iliyonedeshwa na kituo hicho cha Redio na kujishindia Sh milioni 2. Wa kwanza kushoto ni Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania Albert Maneno na kulia ni mtangazaji wa Clouds Said Mohamed maarufu Bonge.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova akimkabidhi Askari wa usalama barabarani, Moses Alphage fedha taslimu Sh. milioni 2 zilizochangwa na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania na wasikilizaji wa kituo cha Redio Clouds FM kupitia programu ya kuhamasisha na kupongeza utendaji kazi wa askari wa usalama barabarani jijini Dar es salaam iliyonedeshwa na kituo hicho cha Redio. Alphage huongoza magari katika daraja la Mlalakuwa, Kawe.
Askari wa usalama barabarani, Moses Alphage, akiondoka zake kwa mwendo wa kikakamavu mara baada ya kukabidhiwa cheti na pesa taslimu kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 2 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova (hayupo pichani). 
Mfanyaakazi wa Idara ya Masoko wa Kampuni ya Vodacom Albert Maneno (wa tatu kushoto) akiongea kabla ya kukabidhi Sh. milioni 2 kwa askari wa kikosi cha Usalama Barabarani Moses Alphage (wa kwanza kushoto) aliyeibuka kidedea katika programu ya kuibua hamasa ya kazi kwa askari hao jijini Dar es salaam iliyoendeshwa na kituo cha Redio Clouds FM. Fedha hizo zimetolewa na wafanyakazi wa Vodacom pamoja na wananchi mbalimbali walioguswa na programu hiyo. Wa kwanza kulia ni Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova, akipokea sh. milioni 2 kutoka kwa mfanyakazi wa Vodacom Tanzania Albert Maneno zilizochangwa na wafanyakazi wa Vodacom na wananchi mbalimbali kwa ajili ya askari wa kikosi cha usalama barabarani Moses Alphage aliyeibuka kidedea katika programu ya kuibua hamasa ya kazi kwa askari hao jijini Dar es salaam iliyoendeshwa na kituo cha Redio Clouds FM.

CHALINZE KUMEKUCHA HARAKATI ZA KUSAKA KURA ZA VIONGOZI WA JIMBO

Meneja wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),Ndg. Steven Kazidi (kushoto) akimuinua mkono juu kwa ishara ya kumnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo hilo (CCM),Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete wakati wa mkutano wa kwanza wa kampeni uliofanyika katika kijiji cha Matipwili,Saadani Wilayani Bagamoyo jana Machi 14,2014. 
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze,Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akinong'onezwa jambo na Mmoja wa kinamama wa Kijiji cha Matipwili (Jina lake halikuweza fahamika mara moja).
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubia wanakijiji wakazi wa Kijiji cha Mkange,Saadani Wilayani Bagamoyo waliojitokeza kwa wingi kumsikiliza huku wengi wakiahidi kumpa kura zao pindi itakapofika siku ya Uchaguzi huo mdogo wa Jimbo hilo.