TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, January 5, 2013

Matukio mbalimbali ya kutoka katika Halmashauri ya Jimbo la Moshi Mjini



 Vijana wakitembeza Miti katikati ya mji wa Moshi





 Askari wa Usalama Barabarani akiikagua hii Gari katika stand ya Mbuyuni Mjini Moshi


 Wakazi wa Mji wa Moshi wakicheza Bao baada ya shuguli za Kutwa



 Barabara za Mji wa Moshi zikionekana kusongamana kutokana na kuwa na idadi kubwa ya Magari na Watu

Hili ni Soko ambalo hata Hivyo, kuna Mpango wa kuhamishwa kutoka katikati ya Mji na kupelekwa nje ya Mji, kwa kuwa hivi sasa mji wa Moshi unaitajika kufanyiwa upanuzi(miundo mbinu)


 Wafanyabiashara katika Soko Kuu la Mji wa Moshi wakiendelea na Shuguli zao
 Hili ni lango la kuingia katika Soko Kuu la Mjini Moshi
 Wafanyabiashara katika Soko Kuu la Mji wa Moshi wakiendelea na Shuguli zao
 Wafanyabiashara katika Soko Kuu la Mji wa Moshi wakiendelea na Shuguli zao
 Wafanyabiashara katika Soko Kuu la Mji wa Moshi wakiendelea na Shuguli zao








 Hapa ni Sehemu Palipotengwa kwa ajili ya kutupa Taka katika Soko Kuu la Mjini Moshi
 Eneo la Soko Kuu la Moshi

 Wafanyabiashara(Mama Ntilie) wakionekana kupika na kuuza Vyakula Pembeni mwa Barabara katika Halmashauri ya Mji wa Moshi
 Mama akipata Huduma ya kusukwa katika Eneo maalum la Masai mtaa wa Mbuyuni
 Shule hii inapatikana katika mji wa Moshi Mjini

 Hizi ni Baadhi ya Barabara zinazoingia katika Mji wa Moshi zikiwa katika hali mbaya kiasi cha kuwa Kero kwa Wapita Njia na Wenye Magari



 Eneo la Kiwanda cha Bia Tanzania(TBL) Mjini Moshi




 Eneo la Kiwanda cha Gesi Mjini Moshi

 Kiwanda cha Bia Tanzania(TBL) Kilichopo Moshi
  Eneo la Machinjio ya Ng"ombe katika mji wa Moshi ikionekana kutlekezwa
 Wakazi wa eneo la Mbuyuni Mjini Moshi wakiendelea na upakiaji wa Mchanga, aikujulikana mchanga huo ulipelekwa wapi
  Eneo la Machinjio ya Ng"ombe katika mji wa Moshi ikionekana kutlekezwa
 Eneo la Machinjio ya Ng"ombe katika mji wa Moshi ikionekana kutlekezwa
 Hizi ni Baadhi ya Barabara zinazoingia katika Mji wa Moshi zikiwa katika hali mbaya kiasi cha kuwa Kero kwa Wapita Njia na Wenye Magari



 Hizi ni Baadhi ya Barabara zinazoingia katika Mji wa Moshi zikiwa katika hali mbaya kiasi cha kuwa Kero kwa Wapita Njia na Wenye Magari
 Wakazi wa Mji wa Moshi wakiwa katika Upakuzi wa Mizigo eneo la Viwanda
 Hizi ni Baadhi ya Barabara zinazoingia katika Mji wa Moshi zikiwa katika hali mbaya kiasi cha kuwa Kero kwa Wapita Njia na Wenye Magari
 Hizi ni Baadhi ya Barabara zinazoingia katika Mji wa Moshi zikiwa katika hali mbaya kiasi cha kuwa Kero kwa Wapita Njia na Wenye Magari
 Hizi ni Baadhi ya Barabara zinazoingia katika Mji wa Moshi zikiwa katika hali mbaya kiasi cha kuwa Kero kwa Wapita Njia na Wenye Magari

 Hizi ni Baadhi ya Barabara zinazoingia katika Mji wa Moshi zikiwa katika hali mbaya kiasi cha kuwa Kero kwa Wapita Njia na Wenye Magari
 Hizi ni Baadhi ya Barabara zinazoingia katika Mji wa Moshi zikiwa katika hali mbaya kiasi cha kuwa Kero kwa Wapita Njia na Wenye Magari
 Hizi ni Baadhi ya Barabara zinazoingia katika Mji wa Moshi zikiwa katika hali mbaya kiasi cha kuwa Kero kwa Wapita Njia na Wenye Magari
 Hizi ni Baadhi ya Barabara zinazoingia katika Mji wa Moshi zikiwa katika hali mbaya kiasi cha kuwa Kero kwa Wapita Njia na Wenye Magari
 Kina mama wakiwa katika Biashara katika Mitaa ya Halmashauri ya Mji wa MoSHI
 Pikipiki za Kichina zikiwa Zimepangwa katika Mitaa ya Barabara za Mji wa Moshi
 wakiwa katika Mitaa Mjini Moshi


 Kina mama wakiuza Ndizi eneo la mjini , mjini Moshi





 Wajenzi wa Ghorofa mjini Moshi wakiendelea na Ujenzi




 Machinga wa Mjini Moshi wakiwa pembezoni mwa Barabara ya Polisi Central wakiendelea na Biashara zao, Mji wa Moshi bado haujatengwa kwa ajili ya wafanyabiashara ndogondogo





  Machinga wa Mjini Moshi wakiwa pembezoni mwa Barabara ya Polisi Central wakiendelea na Biashara zao, Mji wa Moshi bado haujatengwa kwa ajili ya wafanyabiashara ndogondogo


 Wapakua Mizigo wakiendelea na Upakuzi katika Eneo la Viwanda Mjini Moshi

  Machinga wa Mjini Moshi wakiwa pembezoni mwa Barabara ya Polisi Central wakiendelea na Biashara zao, Mji wa Moshi bado haujatengwa kwa ajili ya wafanyabiashara ndogondogo

Wakazi wa Mji wa Moshi wakisubiri Usafiri wa Daladala katika Barabara ya MAHAKAMA(Picha Zote na Shaaban Mpalule).