TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, December 13, 2016

VINGUNGUTI YAONYESHA VIPAJI FAINALI MPINGA CUP 2016

 KIKOSI CHA TIMU YA WAENDESHA PIKIPIKI CHAMA FC YA TABATA


 DAKTARI WA MASHINDANO KUSHOTO NA MWANDISHI WA MASHINDANO
Mratibu wa Mpinga Cup 2016 ASP Mbuja Matibu  akimkaribisha Uwanjani Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani mohammed Mpinga, wakati wa Fainali ya Mpinga Cup 2016.
 Mratibu Msaidizi wa  Mpinga Cup 2016 Insp Flora Mashishanga, akisalimiana na  Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani mohammed Mpinga, wakati wa Fainali ya Mpinga Cup 2016.
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani mohammed Mpinga, (kulia) akifafanua jambo wakati wa Fainali ya Mpinga Cup 2016. iliyofanyika kwenye uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.
 Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani mohammed Mpinga, (kulia) akifafanua jambo wakati wa Fainali ya Mpinga Cup 2016. iliyofanyika kwenye uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.
 Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani mohammed Mpinga, (wa tatu kutoka kulia) akiwa katika picha na viongozi mbali mbali  wakati wa Fainali ya Mpinga Cup 2016. iliyofanyika kwenye uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.
 Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani mohammed Mpinga, (wa tatu kutoka kulia) akiwa katika picha na viongozi mbali mbali  wakati wa Fainali ya Mpinga Cup 2016. iliyofanyika kwenye uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, Jamal Malizi wa tatu kulia, akiwa kwenye Uwanja wa Karume kushuhudia Fainali za Michuano ya Mpinga Cup 2016.
 Mmoja wa Waratibu wa Mashindano ya Mpinga Cup 2016, Insp Aghata Mashayo wa pili kulia, akifuatilia kwa makini Fainali ya Mashindano ya mwaka huu.





 













Monday, November 21, 2016

DUKA LA COUTURE SASA KUWAVISHA NA KUWAPODOA WARIMBWENDE MISS LAKE ZONE

 
 Mtangazaji wa Kipindi cha Flora Shoo kinachoruka kwenye Runinga Mbali mbali muda mfupi baada ya kuvalishwa na duka la Nywele Maarufu kama COUTURE, lililopo katika jengo la City Mall kati kati ya jiji la Dar es salaam.
 Mtangazaji wa Kipindi cha Flora Shoo kinachoruka kwenye Runinga Mbali mbali akipozi na msimamizi wa duka la Nywele Maarufu kama COUTURE, Doreen Mmari, duka hilo lipo jengo la City Mall kati kati ya jiji la Dar es salaam.
Mtangazaji wa Kipindi cha Flora Shoo kinachoruka kwenye Runinga Mbali mbali akikabidhiwa moja ya Nywele za kisasa kutoka kwa msimamizi wa duka la Nywele Maarufu kama COUTURE,Doreen mmari duka hilo lipo katika jengo la City Mall kati kati ya jiji la Dar es salaam.

BORA YAJITANGAZA ZAIDI KWA KUWA NA UBORA KATIKA BIDHAA ZAKE.

 Mtangazaji wa Kipindi cha Flora Shoo kinachoruka katika Runinga mbali mbali hapa Nchini, Anti Flora akizungumza na Mmoja wa Wafanyakazi wa Maduka ya Bora jijini Dar es salaam.
  Anti Flora
 
 
  Anti Flora katika Pozi
 Msimamizi wa Maduka ya Bora, John Alfred Marenge,(kulia) akimkabidhi moja ya Zawadi Anti Flora ambaye ni Mtangazaji wa Kipindi cha Flora Shoo kinachotamba kwenye Runinga Mbali mbali nchini.
 
 Anti Flora akiwa na msanii wa Muziki wa Ngoma za Asili, Siboka Mganga muda mfupi baada ya kununua Kiatu aina ya Safari Buti kwenye Maduka ya Bora yaliyopo jengo la City Mall  jijini Dar salaam.(Picha Zote kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania).
===================

Tuesday, September 27, 2016

HIVI NDIVYO SAFARI YA MWISHO YA MPIGANAJI MWENZETU ADOLF SAIMON KIVAMWO ILIVYOKUWA,TULIMPENDA SANA LAKINI MUNGU AMEMPENDA ZAIDI

 
Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP-Media ambapo marehemu aliwahi kufanyika kazi kwenye Kampuni ya The Guardian Ltd akimwombea marehemu baada ya kuweka shada la maua.
Wabunge Saed Kubenea wa ubungo (kushoto), Zitto Kambwe Kigoma Mjini na Shy-Rose Bhanji wa Bunge la Afrika Mashariki wakiweka maua kwenye kaburi wakati wa mazishi.
Mwenyekiti wa 'Media Car Wash for Cancer' aliyeongoza kampeni ya matibabu ya Kivamwo, Benjamin Thomson na Mwana habari mwenzake Grace Nackso wakiweka maua kwenye kaburi wakati wa mazishi.
Mwana habari Amy Cunningham aliyewahi ufanya kazi na Kivamwo akiweka ua wenye kaburi wakati wa mazishi.

MAFUNZO KUHUSU MWONGOZO WA USIMAMIZI WA UWEKEZAJI WA MIRADI YA UMMA KANDA YA MOROGORO YAFUMGULIWA RASMI

Mgeni Rasmi, Bi. Lorah Madete, Kaimu Naibu Katibu Mtendaji, Klasta ya Uchumi Jumla, Tume ya Mipango, akitoa hotuba wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tano kuhusu Usimamizi wa Uwekezaji wa Miradi ya Umma Kanda ya Morogoro kwa Maofisa na Watendaji wa Idara za Sera na Mipango. Waliokaa ni Bi. Anna Kimwela, Mchumi, Tume ya Mipango na Dr. Jehovaness Aikaeli, Mhadhiri Mwandamizi na Mkuu wa Idara ya Uchumi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Washiriki wa Mafunzo kuhusu Mwongozo wa Usimamizi wa Uwekezaji wa Miradi ya Umma ambao ni Maofisa na Watendaji wa Idara za Sera na Mipango kutoka Kanda ya Morogoro wakimsikiliza Mgeni Rasmi (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo yanayofanyika katika Ukumbi wa Mkutano katika Chuo Kikuu cha Kilimo Morogroro (SUA). 

Muwezeshaji Dr. Jehovaness Aikaeli, Mhadhiri Mwandamizi na Mkuu wa Idara ya Uchumi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akitoa elimu kwa washiriki wa mafunzo hayo.

Washiriki pamoja na wakufunzi wa mafunzo juu ya Mwongozo wa Usimamizi wa Uwekezaji wa Miradi ya Umma ambao ni Maofisa na watendaji wa Idara za Sera na Mipango kutoka Kanda ya Morogoro wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi, Bi. Lorah Madete, Kaimu Naibu Katibu Mtendaji, Klasta ya Uchumi Jumla, Tume ya Mipango (aliyekaa wa pili kushoto) mara baada ya ufunguzi wa mafunzo hayo.