TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, December 18, 2015

Zari All White Ciroc Party Jana Usiku jijini Kampala

Hizi ni baadhi ya picha za Zari All White Ciroc Party  iliyofanyika jana usiku kwenye club Guvnor jijin Kampala.

 watu maarufu  wa hapa Afrika mashariki walikuwepo akiwemo mwanadada Vera Sidika.
Zari All White Ciroc Party
Zari All White Ciroc Party

WAZIRI KITWANGA ALA KIAPO CHA KUWA MWENYEKITI WA TUME YA UTUMISHI YA JESHI LA POLISI NA MAGEREZA

75
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga akila kiapo cha kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Jeshi la Polisi na Magereza mbele ya Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu, Shabani Lila (kushoto) jijini Dar es Salaam leo. Tume hiyo inashughulikia masuala ya kiutumishi kwa askari Polisi na Magereza. Katikati ni Msajili wa Mahakama Kuu, Ilvin Mugeta.

BREAKING NEWZZZ.....BASI LA NEW FORCE LAUA 12 NA WENGINE 22 MAJERUHI NI AJALI MBAYA SANA MUDA HUU


Katika Kuelekea Mwisho wa Mwaka 2015, Madereva Abiria /Dereva na Wadau wote, tuweni makini kuhakikisha kuwa tunasaidia kuepusha ajali za barabarani.

Walioghushi vyeti ili kupata kazi serikalini, kiama chao hiki hapa!


N:a Henry Mdimu


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) ameiagiza Idara ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu-UTUMISHI kuwachukulia hatua watumishi waliobainika kutumia vyeti visivyo vyao kupata ajira Serikalini.
Mhe. Kairuki aliyasema hayo jana alipotembelea Idara ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu–UTUMISHI ikiwa ni muendelezo wa ratiba yake ya kutembelea Idara/Vitengo vya Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma.

ANGALIA UFUNDI NA MBINU ZA WAFUNGAJI MAHILI DUNIANI KATIKA SOKA

DJ JINOKING SEREATO ANAWAOMBA WADAU WA MKOA WA DODOMA KUSAIDIA WANAMUZIKI WA MKOA WAO. TAZAMA NGOMA ZA WASANII WA DODOMA ANAOWASAPOTI DJ JINO KING SERATO.

JE ULITAZAMA KIPINDI CHA MKASI WIKI HII? ANGALIA HAPA SASA.


Asilimia 90 Rwanda wamtaka Kagame

  Rais Paul Kagame wa Rwanda
By Elizabeth Edward, Mwananchi

Kigali, Rwanda. Wakati Wanyarwanda wakipiga kura ya mabadiliko ya katiba leo ili kumuwezesha Rais Paul Kagame kuongoza muhula mwingine ,utafiti wa Ipsos unaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 90 ya wananchi wa taifa hilo wanataka kuendelea kuongozwa na kiongozi huyo.

RAIS DKT MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KWANZA CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU, DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam Alhamisi tarehe 17, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan na kushoto kwake ni Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa. Kikao hicho ni cha kwanza kufanyika tangu Rais Magufuli atangaze Baraza la Mawaziri la Serikali ya Awamu ya Tano wiki iliyopita. 

PICHA NA IKULU

MAGUFULI ATAOMBWA KUTUMBUA JIPU LA WILAYA YA MPANDA MKOANI KATAVI DHIDI YA ADHA YA USAFIRI

MAPEMA ASUBUHI YA LEO DKT. KINGWANGALLA ATUMBUA MAJIPU YA WATUMISHI WACHELEWAJI WA WIZARA YA AFYA


IMG_9231
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla akizungumza na waandishi wa habari kuhusu juu ukaguzi huo katika ofisi za wizara yake ya afya ili kuboresha utendaji wa wizara hiyo na vituo vyote vya sekta ya afya nchini kote.
 Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla amefanya ukaguzi wa kushtukiza katika ofisi za wizara hiyo kwa kusimama getini kuzuia wafanya kazi wote wa wizara ambao walikuwa wamefika ofisini baada ya saa 1:30 asubuhi muda ambao ndiyo mwisho wa wafanyakazi kuingia ofisini. 

MHAGAMA; ALITAKA SHIVYAWATA KUONDOA TOFAUTI ZAO

44
Mkalimani wa lugha ya alama akifafanua mazungumzo kwa alama kwa baadhi ya wajumbe wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) wakati wa  mkutano wa shirikisho hilo na Naibu Waziri (Watu wenye Ulemavu) Dk. Abdalla Possi (hayupo pichani), jana jioni (Jumatano, Desemba 16, 2015), katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Jijini Dar es Salaam.

WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO YATANGAZA MPANGO WA TAIFA WA KUDHIBITI MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Donan Mmbando  akieleza kuhusu Mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele mbele ya Waandishi wa Habari leo 17 Desemba, 2015.

WATANZANIA WANNE WAPATA TUZO ZA UANDISHI WA FASIHI YA KISWAHILI AFRIKA

Afisa Masoko wa Alaf, Theresia Mmasy akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani)jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mwandishi wa kitabu cha Kolonia Santita, Enock Maregesi na Mwandishi wa Ushairi la Kifaurongo, Christopher Budebah.

DROO YA TATU YA PROMOSHENI YA "JAZA MAFUTA NA USHINDE" YA GAPCO YAFANYIKA JIJINI DAR

MAENDELEO YANALETWA NA WANANCHI WENYEWE ENDAPO WATATAMBUA JINSI YA KUTUMIA LASILIMALI ZAO.

MUHONGO ATEMBELEA KIJIJI CHA MAGOZI NA KUKAGUA VYANZO VYA MAJI MTO RUAHA

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MWIJARUBI 

ric1
Kijiji cha Magozi chenye wakulima zaidi ya 1000 wanaolima mpunga kwa kutumia kilimo cha  umwagiliaji ambao unasababisha bwawa la mtera kukosa maji kutoka mto Ruaha kwa sababu za kilimo cha umwagiliaji. Pamoja na wakulima Hawa pia wapo wakulima  wa Mbalali mkoa wa Mbeya ambao wote kutokana na shughuli hizo za kilimo husababisha ufuaji umeme kukwama katika bwawa la  Mtera na Kidatu  mkoani Morogoro.

SHIRIKA LA PLAN INTERNATIONAL LABUNI MRADI WA KUSAIDIA VIJANA KATIKA SOKO LA AJIRA

ZIARA YA WAZIRI WA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, MHE. UMMY MWALIMU KATIKA HOSPITALI YA OCEAN ROAD

FEZA KESSY,DAVIDO,LINAH NDANI YA JUKWAA MOJA NA NCHINI NIGERIA

Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi ya Mkoani Iringa imeibuka mshindi wa kwanza kimkoa

DIAMOND NYUMA YA PAZIA INBOX -KICHUPA CHA 'UTANIPENDA'

NCHI ZA AFRIKA HALI SI NZURI -UN TANZANIA IMEBAINISHA WAKATI WA UZINDUZI WA RIPOTI YA TEKNOLOJIA NA UBUNIFU 2015,

WACHINA WANNE WAHUKUMIWA MIAKA 20 JELA KWA KOSA LA KUHUJUMU UCHUMI KATIKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI MKOA WA MBEYA

 
Watuhumiwa wakifikishwa mahakamani . 

Tazama Mzungu alivyotumia Wimbo wa Diamond kupanda Chati yaani Kakopi na kuimba yeye

Thursday, December 17, 2015

WAZIRI KITWANGA AMUAGA NAIBU WAZIRI WA USALAMA WA RAIA WA CHINA UWANJA WA NDEGE WA JULIUS NYERERE JIJINI DAR

31
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kulia) akimuaga kwa kumpungia mkono Naibu Waziri wa Wizara ya Usalama wa Raia wa Jamhuri ya Watu wa China, Wang Jiang (kushoto ndani ya gari) wakati kiongozi huyo wa China akiwa anaondoka mara baada ya kumaliza ziara yake nchini. Juzi Waziri Kitwanga na Naibu waziri huyo wa China walisaini Hati ya Makubaliano ya ushirikiano katika masuala mbalimbali ya Ulinzi na Usalama wa Raia kati ya Wizara hizo mbili, katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam. Kulia kwa Waziri Kitwanga ni Mkuu wa Utawala wa Jeshi la Polisi, Kamishna Thobias Andengenye. 

WAKAZI WA DAR BONDE LA MTO MSIMBAZI WALIVYO KUTWA NA BOMOA BOMOA

UBINADAMU GANI HUU JAMANI DAH

WAZIRI WA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA WAZEE NA WATOTO, MHE. UMMY MWALIMU AZINDUA BODI MPYA YA TAASISI YA SARATANI YA OCEAN ROAD.

TAASISI INAYOWASAIDIA WATOTO WENYE KANSA YA TUMAINI LA MAISHA‏ WAPATA MSAADA WA MO DEWJI FOUNDATION WA MIL. 110/

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu mchimati@gmail.com au Whatsapp namba +255767869133.IMG_8716

Meneja Mwendeshaji wa Taasisi ya MO Dewji, Francesca Tettamanzi (kulia) akitoa neno la ukaribisho kwa uongozi wa Taasisi ya Tumaini la Maisha inayohudumia watoto wenye kansa nchini na waandishi wa habari katika hafla fupi ya kukabidhi msaada wa fedha kwa ajili ya watoto wenye kansa iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za MeTL Group jijini Dar es Salaam. Wa pili kulia ni Mmoja wa Wakurugenzi wa Taasisi ya Tumaini la Maisha, Gerard Mongera na Wa pili kushoto ni Ofisa anayesimamia utekelezaji wa Programu wa Taasisi ya Tumaini la Maisha , Lilian Ndyetabula.

Tuesday, December 15, 2015

Kubenea, Makonda nusura wazichape


Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea na Mkuu wa Wialya ya Kinondoni, Paul Makonda, jana nusura wazichape kavu kavu mbele ya wafanyakazi wa Kiwanda cha Kutengeneza Nguo cha Tooku Tanzania Garment walipokutana kwa lengo la kutatua mgomo wa wafanyakazi hao ulioanza jana asubuhi.
Hali hiyo ilitokea baada ya Makonda kuzungumza na wafanyakazi hao na kufunga mkutano bila kumruhusu Kubenea kuzungumza na wafanyakazi hao.
Baada ya Makonda kumaliza kuzungumza na wafanyakazi hao, aliwaamuru watawanyike, lakini kabla hawajaondoka, Kubenea aliomba azungumze nao.
Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea na Mkuu wa Wialya ya Kinondoni, Paul Makonda, jana nusura wazichape kavu kavu mbele ya wafanyakazi wa Kiwanda cha Kutengeneza Nguo cha Tooku Tanzania Garment walipokutana kwa lengo la kutatua mgomo wa wafanyakazi hao ulioanza jana asubuhi.

Kauli ya Mwigulu Chemba kuhusu Mgogoro wa wakulima na Wafugaji:

Mgogoro wa wakulima na Wafugaji:Hii leo nimefika Mvomero kijiji cha DIhinda kata ya Kanga kufuatilia na kuchukua hatua dhidi ya tukio baya la mauaji,Kujeruhi BInadamu na Wanyama lililotokea Desemba 12/2015.
"Natoa rai kwa Wananchi hususani wa jamii ya Wafugaji na Wakulima,Hakuna ardhi au Mnyama mwenye thamani sawa na Maisha ya Mwanadamu yeyote yule,njia bora na salama ya kutatua migogoro hii inayohusisha wakuliama na wafugaji ni kufuata taratibu za kuonana na Uongozi wa serikali wa eneo husika hatua kwa hatua,Nawaomba wananchi waache kujichukulia sheria mikononi.Tunakwenda kuunda kamati za usuruhishi wa migogoro hii kwa kila kijiji zitakazohusisha pande zote mbili ili kubaini wavamizi wa maeneo na kuwachukulia hatua za kisheria."
Nimeagiza kupitia kwa Mkuu wa wilaya na kamati yake ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Mvomero(kwa husika maeno yote ya Nchi yetu) kuhakikisha wanaimarisha ulinzi maeneo yote yenye migogoro,pili wahakikishe waliosababisha maafa wanakamatwa mara moja na kufikishwa kwenye vyombo vya sharia.
Kwa walio jeruhiwa,nimeagiza wapatiwe matibabu kwanza bila kuchelewa na hatua za kisheria kwa wenye hatia zifuate.

Waziri Ummy Mwalimu afanya ziara ya kushtukiza hospitali ya Mwananyamala

 Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Mh.Ummy Mwalimu,akisikiliza malalamiko toka kwa wananchi waliofika hospitalini hapo kuona wagonjwa hao.
(Picha Zote na Catherine Sungura-WAMJW)

SHULE 11 ZATAJWA KUTOHUSIKA NA OFA YA BURE

MINISTRY of Education, Science and Technical Education has issued a document on elimumsingi of charge and provide a list of 11 primary government that is concerned with the provision of free primary education was announced by President John Magufuli. Elimumsingi comprises pre-primary education, primary and secondary which will start January.

WAZIRI KITWANGA, NAIBU WAZIRI WA USALAMA WA RAIA WA CHINA WASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO DAR ES SALAAM

 Minister of Internal Affairs of State, Charles Grind (left) and Deputy Minister of Public Safety of the People's Republic of China, Wang Jiang they signed a Memorandum of Understanding on cooperation in various aspects of Defence and Public Safety between these Ministries two, in a ceremony held at the Ministry Conference that, in Dar es Salaam today. All photos and Liaison-OHA

Monday, December 14, 2015

Magufuli apasua majipu Kikwete akipasua anga

When President John Magufuli, Spending all day 38 of His being in power Until yesterday to oversee its campaign to increase Government revenues and an end to corrupt practices Through what he calls 'shred boils', President Jakaya Kikwete forms, continues to shred the sky after access to land four I nce step down. However, when Kikwete continues to travel due to a Variety of roles Against him as a forms President, President Magufuli has continued its record of not have put go abroad I nce Come Into the White House. Case Guardian Revealed That already Had just climbed 'barrel' and REACH Countries Ethiopia, the United Kingdom, the Comoros Islands and South Africa, while Some Of These trips and special zikitokana Invitations he received.

Dawasa yasaini bilioni 71/- za kujenga mtandao wa maji Dar


The powers of the Water and Sewerage Dar es Salaam (Dawasa), has signed a memorandum of million dollars 32.97 US (equivalent to Shs. 71 billion) to build a new network of water pipes for the residents of Dar es Salaam. The network will build pipelines from Tegeta to Bagamoyo and Mbezi until Kiluvya for the purpose of supplying water to customers who are not connected with the legal system. The Director of Technical Services of Dawasa, Romanus Mwang'ingo, made ​​the remarks in Dar es Salaam over the weekend while giving details of the various projects implemented by the authorities it.

VITUO VYA KULELEA WATOTO YATIMA VITAZAMWE UPYA, SERIKALI IVIKUMBUKE.

Manager of the Centre of Light orphanage orphans Orphance Centre, Amanda Fihavango in front of the objects offered as a support and a good Samaritan from the United States.

Waziri Mwigulu atua Mvomero kutatua mgogoro wa ardhi

Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji, Mwigulu Nchemba akiongea na wananchi wa Mvomero.

KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI MGENI RASMI MKUTANO WA MWAKA WA MAAFISA WAANDAMIZI WA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DAR


UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
W1ZARA OF WHAT THE CH1 NDAN1
(Prison)



Street Phone: "PRISON"
Phone number: (+255) - 022: 2110314-6
Fax: (+255) -022: 2113737
When you answer please specify:

                   Office of the Commissioner General of Prisons, PO Box 9190,
DAR ES SALAAM.


INFORMATION PRESS RELEASE

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN, AMKARIBISHA WAZIRI WAKE MAKAMBA OFISINI, AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MABALOZI

Vice President of the United Republic of Tanzania, Hon. Settlement Samia Hassan, he invited the Minister of State in the Office of the Vice President Alliance and Environment, Hon. January Makamba, when he reached his office at State House in Dar es Salaam, today December 14, 2015 for identification after being appointed to the position. 

NAIBU WAZIRI WA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO AFANYA ZIARA ZA KUSHTUKIZA KATIKA KITUO FOREPLAN CLINIC KINACHOMILIKIWA NA DK. MWAKA

Deputy Minister of Health, Social Development, Gender, Elderly and Children, Dr. Hamis Kigwangala arriving at the station  Foreplan Clinic providing  alternative therapy exists Bungoni Ilala, Dar es Salaam made ​​a surprise visit on Monday in the center right is  Deputy Director for Traditional Medicine and Alternative therapy Dk.Paul around from the Ministry of Health and Social Welfare.

MASHABIKI WAZIDI KUIFANGILIA SKYLIGHT BENDI.

MAZOEZI YA VITENDO WAKATI WA KUHITIMISHA MAFUNZO YA AWALI KWA WAHITIMU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI YALIYOFANYIKA CHUO CHA UONGOZI JKT KIMBIJI

Graduates outlining acrobatics training they received immediately after graduation initial course of sergeant and soldiers when installing these in Kimbiji JKT Leadership Institute in Dar es Salaam, which took place over the weekend

Tanzanians and Kenyans in an image that celebrates the independence of their country well in Huntsville, Alabama USA

For more pictures click READ MORE