Mbunge wa Jimbo la Chalinze,
Ridhiwani Kikwete (katikati) akikabidhi gari jipya la kubebea wagonjwa
(Ambulance), kwa Mganga Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo,Dk. Mastidia Rutaihwa
kwa ajili ya Kituo cha Afya cha Chalinze, katika mkutano wa hadhara
uliofanyika mjini Chalinze jioni hii. Wanaoshuhudia kutoka kulia ni
Mganga Mkuu wa kituo hicho, Dk. Bamba Victor na Diwani wa Kata ya
Bwilingu, Nasa Karama.
Muumini wa Dini ya Kikiristo,
Heema Said akitoa neno la shukrani kwa Mbunge wa Jimbo la
Chalinze,Ridhiwani Kikwete 9aliyevaa koti kushoto) alipokabidhi
ambulance hiyo. Ridhiwani alisema kuwa yeye hivi sasa ni mbunge wa vyama
vyote jimbo humo hivyo ambulance aliyoitoa itoe huduma kwa wakazi wote
wa jimbo hilo bila kubagua watu kutokana na itikadi zao. Pia aliuasa
uongozi wa kituo hicho cha afya na uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya
Bagamoyo kuhakikisha wanatunza vizuri gari hilo.
Dok Rtaihwa akimkabidhi ufunguo
wa gari hilo Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya cha Chalinze, Dk.Victor baada
ambulance hiyo kukabidhiwa na Mbunge Ridhiwani.
Dk. Victor akitoa shukurani kwa Mbunge Ridhiwani kwa msaada huo wa ambulance
Wakifurahia kwa pamoja kupata usafiri huo muhimu kwa wagonjwa
Mbunge Ridhiwani Kikwete na Dk. Rutaihwa wakiangalia ndani ya ambulance hiyo
Wakiwa na furaha baada ya kuangalia samani zilizomo ndani ya ambulance hiyo
Ridhiwani pamoja na viongozi wa
dini ya kiislamu wakiliombea dua gari hilo. Kutoka kulia ni Alhaji
Sheikh Hussein Fuko na Alhajj Khamis Magula
Ridhiwani 9katikati) na Mbuunge
wa Jimbo la Mtera, Lusinde wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya
watumishi wa Kituo cha Afya cha Chalinze akiwemo Mganga Mkuu wa Wilaya
ya Bagamoyo, Dk. Rutaihwa.
Mganga Mkuu wa Wilaya ya
Bagamoyo, Dk.Mastidia Rutaihwa akitoa shukurani kwa Ridhiwani kwa msaada
wa Ambulance na kuahidi kuitunza
Ridhiwani akipongezwa na wananchi kwa kuwapatia ambulance
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Hafsa Kazinja akicheza muziki na mmoja wa wazee wa Chalinze alipotumbuiza katika mkutano huo
Ridhiwani akihutubia katika mkutano huo
Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria makabidhiano ya ambulance katika viwanja vya miembe saba mjini Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Mtera, Dodoma,
Lusinde ambaye alikuwa safarini akitokea Dodoma kwenda Dar kwenye vikao
vya Kamati za Bunge, aliamua kushiriki kwenye mkutano huo ambapo
alimsifia Mbunge Ridhiwani kwa kipindi kifupi alichoaguliwa kuwa mbunge
miezi sita iliyopita kutekeleza kwa kiasi kikubwa ahadi alizozitoa
wakati wa kampeni ikiwemo ambulance hiyo, ujenzi wa visima katika vijiji
mbalimbali na ujenzi wa barabara pamoja na zahanati
Lusinde akikumbatiana kwa furaha na Ridhiwani baada ya mkutano huo kumalizika

Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa tafrija ya
mwaka mpya aliyoiandaa huko Ikulu tarehe 10.1.2015 kwa ajili ya wenza wa
mabalozi wa nchi za nje walioko hapa Tanzania.
Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa tafrija ya
mwaka mpya aliyoiandaa huko Ikulu tarehe 10.1.2015 kwa ajili ya wenza wa
mabalozi wa nchi za nje walioko hapa Tanzania.
Baadhi ya wageni waalikwa wakiongozwa na Mke wa Makamu wa Rais Mama
Zakhia Bilal (wa kwanza kushoto) wakisikiliza hotuba ya Mke wa Rais
Mama Salma Kikwete (hayupo pichani) wakati wa tarfija ya mwaka mpya
aliyowaandalia wenza wa mabalozi wa nchi za nje waliopo hapa Tanzania
tarehe 10.1.2015.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mama Anna Mkapa wakati
wa tafrija ya mwaka mpya aliyoiandaa huko ikulu tarehe 10.1.2015 kwa
ajili ya wenza wa mabalozi wa nje hapa nchini.
Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akipongezwa kwa hotuba yake na Mama Celine
Mpango, Mke wa Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo hapa nchini.
Mama Mpango ni kiongozi wa wenza wa mabalozi wa nje waliopo hapa
Tanzania.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akijumuika na wenza wa mabalozi na wageni waalikwa kupiga picha ya kumbukumbu.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na na baadhi ya wenza wa
mabalozi wa nje waliopo hapa Tanzania wakati wa tafrija ya mwaka mpya
aliyowaandalia huko Ikulu tarehe 10.1.2015.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akikagua gwaride la Chipukizi wa
UVCCM wakati alipofika katika viwanja vya Mnazi Mmoja leo Mjini
Zanzinar kupokea matembezi ya Umoja wa UVCCM yenye lengo la kuwaenzi
Viongozi na kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar,[Picha na
Ikulu.]
Vijana
wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi UVCCM wakiwa wamebeba Bendera
na Picha za Viongozi wakati wa kilele cha matembezi ya Umoja wa UVCCM
yenye lengo la kuwaenzi Viongozi na kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi ya
Zanzibar yaliyopokelewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar
leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja ,[Picha na Ikulu.]
Vijana
wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi UVCCM wakiwa katika
matembezi ya Umoja wa UVCCM yenye lengo la kuwaenzi Viongozi na
kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyopokelewa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibarleo katika viwanja vya Mnazi Mmoja
Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Vijana
wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi UVCCM wa Mkoa wa Kaskazini
Unguja wakiwa katika matembezi ya Umoja wa UVCCM yenye lengo la
kuwaenzi Viongozi na kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar
yaliyopokelewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar leo
ambapo kilele chake katika viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja,[Picha
na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akipokea picha za Viongozi kutoka
kwa kiongozi wa Matembezi ya UVCCM Daudi Ismail Juma Mjumbe wa
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kupitia UVCCM wakati wa kilele cha
Matembezi ya kuwaenzi Viongozi na kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi
Matukufu ya Zanzibar leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini
Unguja,[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akimkabidhi Picha ya Mwenyekiti
wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete,Mwenyekiti wa UVCCM Sadifa Juma Khamis baada ya kuyapokea
matembezi ya Vijana wa UVCCM yaliyofikia kilele chake leo katika
viwanja wa Mnazi Mmjoa Mjini Unguja katika kuadhimisha miaka 51 ya
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akipokea Bendera kutoka kwa
Kiongozi wa Matembezi ya UVCCM Daudi Ismail Juma Mjumbe wa Halmashauri
Kuu ya CCM Taifa (NEC)kupitia UVCCM wakati wa kilele cha Matembezi ya
kuwaenzi Viongozi na kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya
Zanzibar leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja,[Picha na
Ikulu.]
Vijana
wa Chipukizi wakipita kwa gwaride la mwendo wa haraka mbele ya mgeni
rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibarwakati wa kilele cha matembezi ya Umoja wa UVCCM yenye lengo la kuwaenzi Viongozi na
kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar leo katika viwanja vya
Mnazi mmoja mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Viongozi
wa Chama cha Mapinduzi wakiwepo wa UVCCM wakisimama wakati Makamo
Mwenyekti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipokea matembezi ya Vijana wa Umoja wa
UVCCM yaliyofikia kilele chake leo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini
Unguja ikiwa ni kuadhimisha miaka 51 ya mapinduzi Matukufu ya
Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein pia Makamo Mwenyekti wa CCM Zanzibar akitoa hutuba yake wakati wa
Kilele cha matembezi ya Vijana wa Umoja wa UVCCM yaliyofikia leo
katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja ikiwa ni kuadhimisha miaka
51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kushoto) Mwenyekiti wa UVCCM
Sadifa Juma Khamis,[Picha na Ikulu.]
Baadhi
ya Vijana wa UVCCM wakimasikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekti wa CCM
Zanzibar alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa Kilele cha matembezi
ya Vijana wa Umoja wa UVCCM yaliyofikia leo katika Viwanja vya Mnazi
Mmoja Mjini Unguja ikiwa ni kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu
ya Zanzibar (kushoto) Mwenyekiti wa UVCCM Sadifa Juma Khamis,[Picha na
Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
pia Makamo Mwenyekti wa CCM Zanzibar akimkabidhi Cheti Makamo
Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa Pili Hassan Suluhu wakati wa matembezi
ya Vijana wa Umoja wa UVCCM yaliyofikia kilele chake leo katika Viwanja
vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja ikiwa ni kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi
Matukufu ya Zanzibar (kushoto) Mwenyekiti wa UVCCM Sadifa Juma
Khamis,[Picha na Ikulu.]
/////
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein pia Makamo Mwenyekti wa CCM Zanzibar akimkabidhi Cheti Mke wa
Makamo wa Pili wa Rais Mama Asha Suleiman kwa niaba ya Makamo wa Pili wa
Rais Balozi Seif Ali Idii kwa mchango wake mkubwa kufanikisha
matembezi ya Vijana wa Umoja wa UVCCM yaliyofikia kilele chake leo
katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja ikiwa ni kuadhimisha miaka
51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kushoto) Mwenyekiti wa UVCCM
Sadifa Juma Khamis,[Picha na Ikulu.]




Makamu
wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad wa tatu kutoka
(kushoto) akionyeshwa kifaa maalum cha kusaidia wagonjwa mahututi
wanapolazwa katika wodi hiyo. (Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo
Zanzibar).
Waziri
wa Afya Rashid Seif akitoa taarifa juu ya wodi mpya ya wagonjwa
mahututi kabla ya kumkaribisha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
kuzungumza na walikwa katika hafla hiyo.
Makamu
wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na
wafanyakazi na wageni waalikwa katika ufunguzi wa wodi mpya ya ICU
katika Hospitali Kuu ya Mnazimmoja Mjini Zanzibar.
Baadhi ya Wafanyakazi wa sekta ya Afya wakimsikiliza Makamu wa Kwanza
wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad wakati wa ufunguzi wa wodi
ya wagonjwa mahututi (ICU). Hafla hiyo imefanya Hopitali Kuu ya
Mnazimmoja Mjini Zanzibar. 