TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, January 7, 2015

MKIA WA NDEGE YA AIRASIA QZ8501 WAPATIKANA

Mchoro wa mkia wa ndege ukionyesha kifaa cha kutunza kumbukumbu za ndege 'black box'.
Picha ikionyesha mabaki ya ndege ya AirAsia kutoka baharini.
Kikosi cha uokoaji kikikusanya baadhi ya mabaki ya ndege ya AirAsia.
Majeneza ya baadhi ya miili iliyoopolewa kutoka bahari ya Java.

MKIA wa Ndege ya AirAsia QZ8501 iliyopotea na watu 162 Desemba 28, mwaka jana umepatikana leo katika Bahari ya Java, Indonesia.
Eneo la mkia ndipo kifaa cha kutunza kumbukumbu za ndege 'black box' kinapatikana na upatakianaji wake utasaidia wachunguzi kubaini chanzo cha ndege hiyo kupotea na kisha kuanguka baharini.
Ndege hiyo ilikuwa ikitokea Jiji la Surabaya nchini Indonesia kuelekea Singaporea. Mpaka sasa miili 40 imeopolewa kutoka baharini katika eneo ambalo ndege hiyo ilianguka.

No comments:

Post a Comment