RAIS KIKWETE AAGANA NA MABALOZI WA TANZANIA NCHINI CANADA NA RWANDA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mhe Jacky Zoka, Balozi wa
Tanzania nchini Canada na Mhe Ali Siwa, Balozi wa Tanzania nchini
Rwanda, walipofika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa January 9,2015 kuaga rasmi kabla ya kwenda kuripoti kwenye vituo vyao vya
kazi.PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment