TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, January 10, 2015

PINDA AHITIMISHA ZIARA YA MPANDA

unnamed1eWaziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na viongozi wa mkoa wa Katavi kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda  baada ya ziara yake  ya jimbo la uchaguzi Januari 9, 2015. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mpanda,  Pazi Mwamlima, Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi, Mhandisi Emmanuel Kalobelo na Mkuu wa Wilaya ya Mlele, Kanali Ngemera Lugunga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) unnamed2e  Sungusungu wa tarafa ya Mamba wilayani Mlele wakicheza ngoma wakati  Mbunge wao, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipowasili kwenye  uwanja wa Shule ya Ufundi  ya Mamba kuhutubia Mkutano wa hadhara Januari 9, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) unnamed3eMsoko wa rasta isiyokuwa ya kawaida  aliosuka Bwana huyo, baada ya kuwasili kwenye uwanja wa shule ya ufundi ya Mamba wilayani Mlele kuhutubia mkutano wa hadhara Januari 9, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu) unnamed4eWaziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wananchi wa jimbo lake.

No comments:

Post a Comment