TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, January 10, 2015

RAIS KIKWETE ALIPOZINDUA NYUMBA ZA KISASA ZA MAKAZI YA WANAJESHI GOGO LA MBOTO, DAR ES SALAAM

unnamed1e Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na
Balozi wa China nchini Mhe Lu Youqing alipowasili kuzindua nyumba za
kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini Dar es salaam leo
Jumamosi 10, 2015. Wengine ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga
taifa Dkt Hussein Mwinyi, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue,
Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange, na Mkuu wa Mkoa wa Dar es
salaam, Mhe Said Meck Sadick,PICHA NA IKULU
unnamed2eAmiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na
Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Samuel Ndomba Mhe alipowasili
kuzindua nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini
Dar es salaam leo Jumamosi 10, 2015
unnamed3e Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili tayari
kuzindua nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini
Dar es salaam leo Jumamosi 10, 2015
unnamed4e Sehemu nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi
zilizozinduliwa leo na Rais Kikwete Gongo la Mboto jijini Dar es
salaam leo Jumamosi 10, 2015
unnamed5e Sehemu nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi
zilizozinduliwa leo na Rais Kikwete Gongo la Mboto jijini Dar es
salaam leo Jumamosi 10, 2015
unnamed6e Wasanii wa Kikundi cha utamaduni cha JWTZ kikitumbuiza wakati wa
sherehe za uzinduzi wa nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi
zilizozinduliwa leo na Rais Kikwete Gongo la Mboto jijini Dar es
salaam leo Jumamosi 10, 2015
unnamed7eSehemu nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi
zilizozinduliwa leo na Rais Kikwete Gongo la Mboto jijini Dar es
salaam leo Jumamosi 10, 2015
unnamed8eAmiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua
pazia kuzindua nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi akisaidiana na
Balozi wa China nchini Mhe Lu Youqing, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la
Kujenga taifa Dkt Hussein Mwinyi na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis
Mwamunyange Gongo la Mboto jijini Dar es salaam leo Jumamosi 10, 2015
unnamed9eAmiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikweteakipiga makofi kuashiria uzinduzi wa  nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi akisaidiana na
Balozi wa China nchini Mhe Lu Youqing, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la
Kujenga taifa Dkt Hussein Mwinyi na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis
Mwamunyange Gongo la Mboto jijini Dar es salaam leo Jumamosi 10, 2015
unnamed10eAmiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua
nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini Dar es
salaam leo Jumamosi 10, 2015
unnamed13e Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akiwa katika picha ya pamoja na wadau mbalimbali wa mradi huo wa
nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini Dar es
salaam leo Jumamosi 10, 2015
unnamed14e Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akiwa katika picha ya pamoja na wadau mbalimbali wa mradi huo wa
nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini Dar es
salaam leo Jumamosi 10, 2015
unnamed15e Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akiwa katika picha ya pamoja na wadau mbalimbali wa mradi huo wa
nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini Dar es
salaam leo Jumamosi 10, 2015
unnamed16eAmiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akisalimiana na baadhi ya wanajeshi baada ya kuzindua  nyumba za
kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini Dar es salaam leo
Jumamosi 10, 2015
unnamed17eAmiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akisalimiana na baadhi ya wanajeshi baada ya kuzindua  nyumba za
kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini Dar es salaam leo
Jumamosi 10, 2015
unnamed19eAmiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akisalimiana na baadhi ya wanajeshi baada ya kuzindua  nyumba za
kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini Dar es salaam leo
Jumamosi 10, 2015
unnamed20eAmiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akisalimiana na baadhi ya wanajeshi baada ya kuzindua  nyumba za
kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini Dar es salaam leo
Jumamosi 10, 2015
unreaded12e Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akiwa katika picha ya pamoja na wadau mbalimbali wa mradi huo wa nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini Dar es salaam leo Jumamosi 10, 2015

No comments:

Post a Comment