TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, December 31, 2015

TTCL YATOA ZAWADI YA MWAKA MPYA KWA VITUO VYA YATIMA DAR ES SALAAM.

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Nicodemus Thomas (kushoto) kwa niaba ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Dk. Kamugisha Kazaura akikabidhi sehemu ya msaada kwa baadhi ya watoto kutoka Kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Kiwohede kilichopo Buguruni Malapa cha jijini Dar es Salaam. Msaada huo umetolewa leo na Kampuni ya TTCL kwa ajili ya Siku Kuu ya Mwaka Mpya 2016. 

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA BARUA PEPE ZA KAWAIDA KATIKA MAWASILIANO YAKE

MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU KUAPISHWA KESHO 1,JANUARI 2016

WAZIRI WA LIMU,SAYANSI,TEKNOLOGIA NA UFUNDI PROFESA. JOYCE NDALICHAKO ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA NACTE

WANANCHI WATAKIWA KUCHANGIA NYUMBA ZINAZOJENGWA NA SERIKALI

UHURU WA KIUCHUMI TANZANIA YASHIKA NAFASI YA 82

TAARIFA YA UTAPELI

JESHI LA POLISI LAWATAHADHARISHA WANANCHI KUHUSU MKESHA WA MWAKA MPYA.








WAZIRI MAHIGA AKUTANA NA MABALOZI WA QATAR NA KUWAIT WALIOPO NCHINI

MSANII TEKNO MILES KUNOGESHA TAMASHA LA JOHNNIE WALKER “GROWN & SEXY THE GOLD FINALE”

LIGI KUU YA ZANZIBAR KVZ NA JKU MCHEZO ULIOFANYIKA UWANJA WA AMAAN TIMU YA JKU IMESHINDA 2--0

WARAGHBISHI WILAYANI KAHAMA WAPANIA KUMKOMBOA MWANAMKE



RAIS JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI ATEUA MAKATIBU WAKUU, MANAIBU MAKATIBU WAKUU NA KAIMU NAIBU KAMISHNA TRA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM JIONI HII

SPIKA WA BUNGE, JOB NDUGAI AMEREJEA LEO KUTOKA INDIA ALIKOKUWA KWA AJILI YA MATIBABU. AWASHUKURU WATANZANIA KWA MAOMBI YAO. AELEZEA HALI YAKE KUWA NI IMARA KABISA.

Meneja Zantel aliyeuawa ‘alidroo’ Sh10mil benki

WAKAZI WA WILAYA YA MBOGWE WAPATA UJASIRI WA KUTUMBUA MAJIPU BAADA YA MAFUNZO YA URAGHABISHI

Waziri akuta ‘ofisi nzima’ wako likizo

Bryan Mwombeki Ashinda Mpira wa Tennis Capital Junior OPEN # 1 L 5 Washington, DC

Benki ya maendeleo ya kilimo kuanzisha ofisi za kanda

WADAU WA UJENZI WATAKIWA KULITUMIA BARAZA LA TAIFA LA UJENZI ILI KUEPUKA MIGOGORO.


Na: Jovina Bujulu - MAELEZO.

Wadau wa Ujenzi wameshauriwa kutumia huduma za kitalaam zinazotolewa na Baraza la Taifa la Ujenzi ili kuepuka migogoro inayojitokeza wakati wa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya ujenzi nchini.

Wito huo umetolewa leo jijini Dar es salaam na Afisa Mtendaji Mkuu wa Baraza hilo Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu majukumu ya baraza hilo katika utatuzi wa migogoro inayotokea katika maeneo mbalimbali.

Mhandisi Chamuriho amesema kuwa migogoro ya miradi ya ujenzi inayojitokeza mara kwa mara baina ya wadau husika hutokana na kukosekana kwa ushirikiano baina yao.

" Wadau wanatakiwa kushirikiana kulingana na makubaliano yao ili mradi husika ukamilike"  Alisema na kuongeza kuwa tofauti kati ya wadau wa miradi ya ujenzi hujitokeza kutokana na ukubwa na ugumu wake.

Aidha, Dkt. Chamuriho amesema kwamba migogoro ya ujenzi isiposuluhishwa mapema hugharimu pesa nyingi, muda wa wadau na fursa za matokeo ya miradi inayojengwa.

"Ninajua njia mahususi ya utatuzi wa migogoro inayoajitokeza nchini ni kutumia mahakama ambayo mashauri yake huchukua muda mrefu, ili kuokoa muda huu, utatuzi mbadala katika ujenzi ni kulitumia Baraza la Ujenzi" alisisitiza  Mhandisi Dkt. Chamuriho.

Akitaja majukumu mengine ya Baraza hilo amesema kuwa ni kutoa huduma za ushauri , usuluhisi wa migogoro, mafunzo, ukaguzi wa kiufundi, utafiti na kutoa machapisho ya kiufundi.

Alisema kuwa Baraza la Taifa la Ujenzi lilianzishwa kwa mujibu wa sheria ya Bunge na 20 ya mwaka 1976 na kuanza kutekeleza majukumu yake.

MWALIMU GODFREY GODWIN KIHENGU NA MISS MARIAM BARAKA BINAGI WAUAGA RASMI UKAPERA.

BENKI YA EXIM YAFUNGA MAUZO YA DHAMANA YAKE KWA MAFANIKIO MAKUBWA.

GAPCO YAFANYA DROO YA NNE JIJINI DAR ES SALAAM,"JAZA MAFUTA NA USHINDE"

ZIARA YA RAIS WA ZANZIBAR MH. DK. SHEIN KISIWANI TUMBATU

WAZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA MKOANI KIGOMA,ATEMBELEA KAMBI ZA WAKIMBIZI, AWAONYA KUTOJIHUSISHA NA UHALIFU

ONYO KALI MKESHA WA MWAKA OLE WAO WATAKAOFANYA FUJO.


WAZIRI WA AFYA, MHE. UMMY MWALIMU ATEMBELEA MSD, AAHIDI KUWA BALOZI WAO NA KUWATATULIA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI IKIWEPO DENI WANALOIDAI SERIKALI

MAKAO MAKUU YA TIGO WAPATA UGENI KUTOKA SERIKALINI

KIKWETE,WAZIRI LWENGE WAKAGUA MITAMBO YA MAJI WAMI,CHALINZE

KAIRUKI AENDELEA NA ZIARA KATIKA TAASISI ZILIZO CHINI YA OFISI YAKE KUHIMIZA UWAJIBIKAJI

MIKATABA MIWILI YA UJENZI YASAINIWA NA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI ZANZIBAR

Wednesday, December 30, 2015

KAMPUNI ZA SIMU ZILIZOSHINDWA KUWALINDA WATEJA WAKE KITEKNOLOJIA ZACHUKULIWA HATUA ZA KISHERIA NA MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA).

AFISA BIASHARA WA HALMASHAURI YA DODOMA ASIMAMISHWA KAZI












MAFUNZO YA AWALI KWA WATUMISHI WA IDARA YA WAKIMBIZI YAFUNGULIWA NA KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI , LEO JIJINI DAR ES SALAAM

MIGOGORO 41 YASUMBUA BARAZA LA TAIFA LA UJENZI SASA KUITAFUTIA UFUMBUZI KATIKA KIPINDI CHA MWAKA 2015

WAZIRI WA HABARI,UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO AMPONGEZA MBWANA SAMATTA KWA KUJIUNGA NA KLABU YA GENK YA UBELGIJI

TUME YA MIPANGO WAASWA KUFANYA TAFITI ILI KUONGEZA UKUSANYAJI MAPATO.

UTENDAJI MBAYA NA MAAMUZI MABOVU YA KAZI ZA WAWAPELEKEA WENYEKITI KUMCHUKULIA HATUA MWENYEKITI WAO WA KIJIJI.

KESI YA WAFANYAKAZI WA TRA KUSIKILIZWA JANUARI 13 MWAKANI