TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, December 30, 2015

UTENDAJI MBAYA NA MAAMUZI MABOVU YA KAZI ZA WAWAPELEKEA WENYEKITI KUMCHUKULIA HATUA MWENYEKITI WAO WA KIJIJI.








Kwa upande wa Kata ya Mwakipoya mheshimwa Thabita anasema, “Watendaji wangu sio wazuri hawataki kualika mikutano, mambo yote yamekwama kwa ajili ya watendaji. Nimefanya mikutano miwilitu katika kijiji cha Mwangongo na hapa Mwakipoya. Changamoto kubwa ambayo alikumbabana nayo kwenye vile vijiji sana sana ni malalamiko kwa watendaji kwamba hawataki kusoma taarifa za mapato na matumizi.  na hatua aliyochukua Mheshimiwa Thabita ni kupeleka taarifa hizi kwa mkurugenzi  na mkuu wa wilaya kwa hatua zaidi. Lakini pamoja na changa- mwingine alichukua mchanga akatuletea mifuko 15,” anaeleza Mwenyekiti wa sasa wa kijiji cha  Shande, Andrea Lubango.  Kwa hakika wananchi ndio wamiliki wa kiti cha uenyekiti na wanapoamua kuchukua kiti chao wanaweza, kama wana Shenda wangeamua kukaa kimya na kundelea kuhuzunika na kulalamika tu pasipo kuchukua hatua hakuna ambacho kingAewezekana Na watoto wao wangeendelea kusoma kwenye madarasa yenye vumbi kutokana na kutokuwa na sakafu. Hatua zaidi zinatakiwa kuchukuliwa ili kuweza kuhakikisha Wanashenda wanapata mapato yenye thamani sawa na mchanga uliochanganyika na dhahabu.

No comments:

Post a Comment