TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, August 1, 2013

TUKIO LA MAUAJI YA KUTISHA DAR ES SAALAM 31/7/2013

NAOMBA SAMAHANI KWA WOTE MTAKAOITAZAMA HII PICHA. ISIPOKUWA IMENILAZIMU KUWAWEKEA ILI KAMA KUNA NDUGU YAKE AWEZE KUJITOKEZA NA KUTAMBUA SEHEMU MWILI WA NDUGU YAO UMELAZWA.
HUYU MTU INASADIKIWA KUFANYIWA UKATILI WA KUMWAGIWA TINDI KALI MWILI MZIMA KISHA KUMTUPA KATIKA VICHAKA VYA KIBAMBA HOSPITALI NA MAKONDEKO JIJINI DAR ES SALAAM, JE HUU NI UNYAMA GANI HATA SASA TANZANIA TUMEKENGEUKA NA KUIGA MILA ZA MATAIFA YA WENGINE AMBAO KUUWANA KWAO SI JAMBO GUMU, IVI TATIZO NI UONGOZI, AU FEDHA ? LAKINI KUMBUKA KUWA ILI LEO LINATOKEA KWA HUYU LAKINI IPO SIKU LAWEZA TOKEA HATA KWAKO AMA NDUGU YAKO, KWA HIYO KUNA KILA SABABU YA TAADHALI KWA KILA MMOJA WETU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU UJAO, NA HAYA YOTE YANATOKEA KWA AJILI YA BAADHI YA WATU KUJISAFISHIA NJIA ILI WAPATE NAFASI YA MADARAKA, KWANI NANI KAKWAMBIA KWAMBA SISI TUNAHITAJI UONGOZI WAKO USIOKUWA NA HEKIMA, UPENDO, AMANI, NA MSHIKAMANO? UNATUIJIA HUKIONEKANA KAMA BINADAMU KUMBE MOYONI MWAKO KUNAWAKA TAMAA YA UUWAJI, USHAWISHI UOVU, NA MWIVI, KINACHOKUFANYA UWEZE KUTENDA AMA KUAGIZA MAUAJI YA KIKATILI KAMA HIVI NI NINI? JE NI KWA AJILI YA KUTAFUTA UTUKUFU WA DUNIANI ? JE UNATAZAMIA KUINGIA PEPONI? MAANA UNASALI KILA IJUMAA NA JUMAPILI, INAUMA SANA ILA KUMBUKA UKIUA KWA UPANDA UTAKUFA KWA UPANGA, HATA KAMA KWA TINDI KALI NA WEWE SIKU ITAKUKUTA HIYO HIYO TINDI KALI, FUNGUA HAPA KWA PICHA ZAIDI. 
 Baadhi ya wakazi wa jiji wakijaribu kutambua mwili wa marehemu
 Askari Polisi wapelelezi wakiwa eneo la Tukio
 Wakazi wa jiji wakitafakali jambo

 mwili ukiwa eneo alikotupwa.
 wakazi wakimiminika kutambua mwili
 Eneo hili la Daraja la Kibamba na Makondeko, ambako ndiko tukio hili limefanwa
Poli ambalo ulitupwa mwili wa marehemu

GUMZO LA MAHAFALI YA DAR ES SALAAM CITY COLLEGE (DACICO) KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM 2013

 Mkurugenzi wa Elimu Wilaya ya Kinondoni, Bw. Edwin Luboha, ambaye alikuwa mgeni Rasmi katika Mahafali yas 12 ya Chuo cha Uandishi wa Habari na Utawala DACICO, kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Chuo cha DACICO  Bw. Idrisa Mziray.
  Baadhi ya Walimu wa Chuo cha DACICO wakiwa katika Mahafali
 Kutoka kushoto, Mkurugenzi wa Mafunzo wa Chuo cha Dacico, Bw. Vedasto Malima, Mgeni Rasmi Godwin Luboha, Mkurugenzi Mkuu wa Chuo, Bw. Idrisa Mziray na Mkuu wa Chuo, Bi. Rehema Komba. wakiwa tayari Kutunuku Astashahada na Shahada kwa wanafunzi walioitimu.
 Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo waliohitimu.
Mwanasheria wa Chuo cha DACICO, Bw. Adolf Kisima(kati), Mshereheshaji ,Gradnes Ikumbo(wa kwanza kushoto) kulia ni baadhi ya Walimu.
 Washereheshaji wa Mahafali Gradness Ikumbo na Obby Malima wakiwa katika Pilika.
 Mgeni Rasmi na Mkurugenzi Mkuu wakiwa Meza Kuu
 Mkuu wa Chuo Bi. Rehema Komba, akifafanua jambo wakati wa Mahafali hayo kwa Mgeni Rasmi.
 Mkuu wa Idara ya Mawasiliano ya Umma wa Chuo cha DACICO, akifafanua jambo.
 Walimu na Washereheshaji wakiwa katika Mapozi wakati wa Mahafali ya 12 Dacico.
 Mkurugenzi wa Mafunzo na Elimu wa Chuo, akitoa taarifa ya Maendeleo ya Chuo kwa Mgeni Rasmi.
 Baadhi ya Walimu
 Mkurugenzi wa Elimu Wilaya ya Kinondoni, Bw. Edwin Luboha, ambaye alikuwa mgeni Rasmi katika Mahafali yas 12 ya Chuo cha Uandishi wa Habari na Utawala DACICO, kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Chuo cha DACICO  Bw. Idrisa Mziray.
 Mkuu wa Chuo Bi. Rehema Komba, akifafanua jambo wakati wa Mahafali hayo kwa Mgeni Rasmi.
 Mkuu wa Chuo Tawi la Mbeya,  Bi. Adventine Wigenge,(kulia) akisoma Taarifa juu ya Mafaniko ya Tawi la Mbeya wakati wa Mahafali hayo kwa Mgeni Rasmi.kati ni mkiuu wa chuo cha Dar es Salaam Bi. Rehema Komba, na Mkurugenzi Mkuu Idrisa Mziray.
 Mkuu wa Chuo cha Sumbawanga, Kiteleli kite, akitoa taarifa ya Maendeleo ya Chuo cha Sumbawanga
 Afisa Habari wa Chuo cha DACICO, Kilangi Musiba,kulia) akifuatilia kwa makini  Mahafali hayo, kushoto ni Baadhi ya wageni na wazazi wa Wahitimu.
 Rais wa Chuo cha DACICO, Kisiza Leonard,(kulia) akitoa ufafanuzi na Maendeleo ya Wanafunzi.
 Mkurugenzi Mkuu wa DACICO, akitoa maelezo kuhusiana na Chuo
 Mkurugenzi wa Elimu wilaya Kinondoni, ambaye ndiye Mgeni Rasmi wa Mahafali ya 12 ya DACICO, Bw. Godwin Luboha, akisema jambo wakati wa Mahafali.
 Rais wa Chuo cha Royola, Geofry Mtenzi, akitoa neno wakato wa Mahafali hayo.
 Waziri wa Michezo wa Serikali ya Wanafunzi katika Chuo cha Uandishi DSJ, Junanne Bakana, akitoa neno wakati wa Mahafali.
 Waziri wa Michezo wa Serikali ya Wanafunzi katika Chuo cha Uandishi  -TSJ- Baraka Gangata, , akitoa neno wakati wa Mahafali.
Baadhi ya wageni waliofika kushuhudia Mahafali hayo.
(Picha Zote kwa Hissani ya Miss Demokrasia Tanzania).