TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, May 12, 2015

TANZANIA MEDIA IN THE FRONTLINE: JOURNALISTS TARGET POLITICAL HATE IN UPCOMING ELECTION

hate specch banner
Journalists and African media leaders from the region are meeting this week to highlight the role of media and journalism in combating hate-speech and intolerance in the upcoming election campaign.
The meeting, organised by the International Association of Women in Radio and Television (IAWRT) and the Ethical Journalism Network (EJN), opens in Dar Es Salaam today (Tuesday) and comes after fresh regional conflict with recent terrorist attacks in Kenya and fears of genocidal violence in Burundi.
The meeting will involve a workshop at the Peacock Hotel on how journalists and media can help stop the spread of hateful political propaganda and will reinforce the Africa-wide campaign,Turning the Page of Hate, which was launched last year in Kigali to mark the 20th anniversary of the Rwandan genocide.
Among the speakers will be Mohammed Garba, President of the Federation of African Journalists and Imelda Lulu Urio, from the Tanzanian Legal and Human Rights Centre.
“This conference could not come at a more important time for Tanzanian journalists,” said Rose Haji Mwalimu, head of IAWRT for Tanzania. “Media here are in the frontline of a struggle for democracy and pluralism. We have to ensure that we keep a lid on the voices of hate and, at the same time, give people the right to free speech.”

KUNDI LA VIJANA MARAFIKI WA LOWASA WAFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO.

Baadhi ya vijana ambao ni marafiki wa Lowasa
wakiwa katika safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro.
Kundi la marafiki wa Lowasa kutoka kana ya
Kaskazini wakiwa katika kituo cha Kibo ,wakiwa katika maandalizi ya
kuanza kwenda kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro.
Sehemu ya juu ya mlima Kilimanjaro ikiwa
imefunikwa kwa theruji.
Kundi la Marafiki wa Lowasa wakiwa katika
kituo cha Stella,kikiwa ni kituo cha mwisho kuelkea kilele cha Uhuru
.
Mandhari mbalimbali zinayoonekana wakati wa
kuupanda Mlima Kilimanjaro.
Safari ya siku tatno kwa ijana hao
ikahitimishwa katika kilele cha Uhuru Peak ,kama wanayoonekana ijana
hao wakiongozwa na mratibu wa marafiki wa Lowasa Kanda ya Kaskazini
,Noel Nnko(mwenye koti la rangi nyekundu kulia)
Safari ya kurudi kiasi ilikuwa tatizo wakati
mwingine baadhi yao walilazimika kupewa msaada kwenye kifaa maalumu cha kushushia wageni waliopata maatizo .
Na Dixon Busagagawa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

Monday, May 11, 2015

RAIS KIKWETE AWEKA SHADA LA MAUA KABURI LA MASHUJAA, ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA TAIFA YA ALGERIA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu mchimati@gmail.com au Whatsapp namba +255767869133.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka shada la maua kwenye kaburi la Mashujaa wa Algeria, leo Jumapili, Mei 10, 2015. Rais Kikwete yupo nchini Algeria kwa ziara ya siku tatu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipewa maelezo wakati alipotembelea Makumbusho ya Taifa la Algeria, Mjini Algiers, leo Jumapili, Mei 10, 2015. Rais Kikwete yupo nchini Algeria kwa ziara ya siku tatu. 
 PICHA NA IKULU.

MAMA SALMA KIKWETE KWENYE SHUGHULI YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU JOHN NYERERE HUKO MSASANI.‏

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu mchimati@gmail.com au Whatsapp namba +255767869133. 
  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitia saini kwenye kitabu cha kumbukumbu ya Marehemu John Nyerere, mtoto wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliyefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili tarehe 9.5.2015. Shughuli ya kuaga mwili wa marehemu John ilifanyika nyumbani kwa Mwalimu Nyerere huko Msasani tarehe 11.5.2015.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa pamoja na Mama Maria Nyerere na Mama Fatma Karume (wa nne kutoka kushoto) pamoja na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro wamesimama mbele ya jeneza wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa Marehemu John Nyerere iliyofanyika Msasani tarehe 11.5.2015. Mwili wa Marehemu John unatarajiwa kusafirishwa tarehe 12.5 kwenda Butiama kwa mazishi.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiteta jambo na Mama Maria Nyerere mara baada ya shughuli ya kuaga mwili wa Marehemu John Nyerere huko Msasani. Marehemu John anatarajiwa kuzikwa jumatano tarehe 13.5.2015 katika kijiji cha Butiama, Mkoani Mara.

PICHA NA JOHN LUKUWI