TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, July 12, 2013

BREAKING NEWS!!!


There is another plane crash this morning and nobody survived. As the news Brought to us, below are the list of the Passengers in the plane (1). your Problem (2). your shame (3). your sorrow (4). your failure (5). your tears (6). your not ckness (7). your weakness (8). your mains (9). your struggle (10). ters and all your not. Do not worry about their Plot corpse Because nothing can be traced About Them Because THEY all perished with the aircraft. Type * AMEN * if you are the one am talking to. Viewers Do not Ignore to type "Amen" if believe in GOD ..

DARAJA LA KIGAMBONI LAFANYIWA UKAGUZI


Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) Dar es Salam jana kuhusu taarifa ya uchaguzi wa wanafunzi wa kuingia kidato cha tano katika shule za sekondari za Serikali na vyuo vya ufundi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Elimu ya Msingi, Zuberi Samataba.
Mafundi wa ujenzi wa daraja la Kigamboni linalojengwa na Kampuni za China Railway Jiangchang Engineering (T) Ltd na China Major Bridge Engineering Company wakipita na Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli(hayupo pichani) baada ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo Dar es Salaam juzi.

Na Zourha Malisa
MSANII anayeshiriki katika video za wasanii wa muziki wa bongo fleva, Agnes Jerald 'Masogange' ni miongoni mwa wanawake waliotajwa kunaswa na dawa za kulevya nchini Afrika Kusini, ambapo msanii mwingine aliyekamatwa ametambulika kwa jina la Melisa Edward.
Inadaiwa wasanii hao kuingiza shehena ya dawa za kulevya zenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 6.8 nchini Afrika Kusini wakitokea Tanzania.

Akizungumza jijini Dar es Salaam , Kamanda wa Polisi Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini, Geofrey Nzoa alithibitisha kukamatwa kwa wasanii hao nchini huko ambapo aliwataja kuwa ni Agnes Masogange pamoja na Melisa.
Alisema wasanii hao walikamatwa Julai 5, mwaka huu nchini humo na bado wanashikiliwa na jeshi la polisi la nchi hiyo kwa ajili ya uchunguzi.
"Hadi sasa taarifa rasmi bado hazijafika hivyo, hatujajua ni aina gani ya adhabu wanaotumikia tunasubiri taarifa rasmi kutoka huko," alisema Nzoa.
Alisema Jeshi la Polisi nchini kwa upande wake, linaendelea kufanya uchunguzi kubaini kama dawa hizo walitoka nazo wapi na pia linawasaka watu, ambao watakuwa ndiyo wamiliki wa dawa hizo.
Habari zilienea katika mitandao ya kijamii Jumapili iliyopita za kukamatwa kwa dawa za kulevya aina ya Crystal Methamphetamine, zenye thamani sh. bilioni sita nchini Afrika Kusini wakati zikisafirishwa kutoka Tanzania.
Taarifa hizo zilionesha kuwa wanawake wawili walikamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Oliver Tambo, uliopo eneo la Kempton Park Ijumaa iliyopita wakitokea Tanzania.
Wanawake hao walikamatwa na maofisa wa Mamlaka ya Mapato ya Afrika Kusini, wakiwa na masanduku sita ambayo yalipokaguliwa yalikutwa na takriban kilo 150 za dawa hizo ambazo pia zinajulikana kama 'Tik' zikiwa na thamani ya bei ya mtaani ya Randi milioni 42 sawa na Sh. bilioni 6.8.
Wasanii 'Bongo' wanaswa na dawa za kulevya A. Kusini

Thursday, July 11, 2013

MV KIGAMBONI HAPATOSHI FELI DAR ES SALAAM ASUBUHI NA JIONI

 Taifa linaitaji vijana wenye vipaji ili kutuwezesha kujikomboa na janga la kuishia kuwa wasindikizaji katika mashindano ya kimataifa, pichani watoto wakiwa katika moja ya mazoezi ya awali ili kufikia malengo ya kuitwa timu ya Taifa kama walivyokutwa hivi karibuni na mpiga picha wetu Kibaha Dar es Salaam..
 Watumishi wa Kanisa la Kristo, wanafunzi wa masomo ya Kwaya ya jumapili, wakiwa katika maandalizi ya kujiweka sawa kwa ajili ya kutumika wakati wa sala ya jumapili kanisa katoliki, kama walivyokutwa na Mpiga picha wetu Kibamba Dar es Salaam juzi.
 Wachezaji wa Timu ya Vijana wa eneo la Kibamba wakijiweka sawa kujiwinda na michezo ya kirafiki katika uwanja wa kibamba Hospitali.
 Mjasilia mali Mkazi wa Mbezi akiwa katika heka heka za kuhakikisha Mzigo unafika mahala pake, kutokana na kukosekana soko la Ajira Vijana wengi wameendelea kujiajiri kama alivyokutwa kijana huyu ambaye hakufahamika jina lake Kimara Dar es Salaam.
 Wakazi wa Eneo la Kigamboni wanaendelea kuwa watumwa wa Usafiri wa kuvuka Kigamboni, hadi hapo Daraja litakapokuwa limekamilika, hali hii ya msongamano wa abiria imekuwa ni tatizo linalosababisha msongamano mkubwa majira ya asubuhi na jioni kama walivyokutwa ikiwa majira ya jioni.
Wakati wa Kufungua shule Wanafunzi wa jiji la Dar es Salaam umewadia, kama wanavyoonekana watoto hawa wakiwa katika mwelekeo wa kwenda shule katika kijiji cha Kibamba Dar es Salaam.

SAN DIEGO (AP) - Wakaguzi wanaendelea na uchunguzi wa mahusiano ya marubani wawili wa Mashirika ya ndege ambao walikuwa wamechukuliwa juu ya majukumu mapya ya urubani kabla ya ajali ya ndege 214

SAN FRANCISCO (AP) — Investigators are examining the cockpit interaction of two Asiana Airlines pilots who had taken on new roles before the crash of Flight 214 — one of whom had seldom flown a Boeing 777 and an instructor who was on his first training flight.
There were four pilots on board but the National Transportation Safety Board is focusing on the working relationship between Lee Gang-kuk, who was landing the big jet for his first time at San Francisco International Airport, and Lee Jeong-Min, who was training him.

While the two men had years of aviation experience, this mission involved unfamiliar duties, and it was the first time they had flown together.
The flight came to a tragic end when the airliner, which came in too low and too slow, crash-landed on Saturday, killing two passengers and injuring many others as it skittered and spun 100 feet.
The pilots were assigned to work together through a tightly regulated system developed after several deadly crashes in the 1980s were blamed in part on inexperience in the cockpit, NTSB chairman Deborah Hersman said Wednesday.
View gallery

A group of people stand in front of the wreckage of …
A group of people stand in front of the wreckage of Asiana Flight 214, which crashed on Saturday, Ju …
"We are certainly interested to see if there are issues where there are challenges to crew communication, if there's an authority break in where people won't challenge one another," she said.
Pilots are trained to communicate their concerns openly, she said, "to make sure that a junior pilot feels comfortable challenging a senior pilot and to make sure the senior pilot welcomes feedback in a cockpit environment from all members of the crew and considers it."
Hersman said the pilot trainee told investigators he was blinded by a light at about 500 feet, which would have been 34 seconds before impact and the point at which the airliner began to slow and drop precipitously. She said lasers have not been ruled out. It was unclear, however, whether the flash might have played a role in the crash.
Hersman also said a third pilot in the jump seat of the cockpit told investigators he was warning them their speed was too slow as they approached the runway.
And she said when the plane came to a stop, pilots told passengers to stay seated for 90 seconds while they communicated with the tower as part of a safety procedure. Hersman said this has happened after earlier accidents and was not necessarily a problem. People did not begin fleeing the aircraft until 90 seconds later when a fire was spotted outside the plane.
View gallery
A group of people stand in front of the wreckage of …
A group of people stand in front of the wreckage of Asiana Flight 214, which crashed on Saturday, Ju …
"Hi, we are at the San Francisco International Airport and we just got in a plane crash and there are a lot of people that need help," a survivor told an emergency dispatcher in a 911 call released late Wednesday.
"There's been a crash at San Francisco airport," another caller reported. "There are people injured on the tarmac, seriously injured. There are no ambulances."
The 911 dispatcher told the caller that help was on the way.
Hersman stressed that while the trainee pilot was flying the plane, the instructor was ultimately responsible, and thus the way they worked together will be scrutinized.
"That's what the airline needs to do, be responsible so that in the cockpit you're matching the best people, especially when you're introducing someone to a new aircraft," former NTSB Chairman James Hall said.
View gallery
The wreckage of Asiana Flight 214, which crashed on …
The wreckage of Asiana Flight 214, which crashed on Saturday, July 6, 2013, is seen on a tarmac in f …
Massachusetts Institute of Technology aeronautics professor Mary Cummings said it's common for two commercial pilots who have never worked together before to be assigned to the same flight.
But she said the military tries to have crews work together more permanently.
"Research would tell you that crew pairing with the same people over longer periods of time is safer," she said. "When two people fly together all the time, you get into a routine that's more efficient. You have experience communicating."
Details emerging from Asiana pilot interviews, cockpit recorders and control-tower communications indicate that Lee Gang-kuk, who was halfway through his certification training for the Boeing 777, and his co-pilot and instructor, Lee Jeong-Min, thought the airliner's speed was being controlled by an autothrottle set for 157 mph.
Inspectors found that the autothrottle had been "armed," or made ready for activation, Hersman said. But investigators are still determining whether it had been engaged. In the last two minutes, there was a lot of use of autopilot and autothrusters, and investigators are going to look into whether pilots made the appropriate commands and if they knew what they were doing, she said.
View gallery
The tail of Asiana Flight 214, which crashed on Saturday, …
The tail of Asiana Flight 214, which crashed on Saturday, July 6, 2013, is seen in front of a span o …
When the pilots realized the plane was approaching the waterfront runway too low and too slow, they both reached for the throttle. Passengers heard a loud roar as the plane revved up in a last-minute attempt to abort the landing.
The two pilots at the controls during the accident had also been in the cockpit for takeoff. Then they rested during the flight while a second pair of pilots took over. The two pairs swapped places again about 90 minutes before landing, giving the trainee a chance to fly during the more challenging approach phase.
The investigation is ongoing, and Hersman cautioned against speculating about the cause. But she stressed that even if the autothrottle malfunctioned, the pilots were ultimately responsible for control of the airliner.
"There are two pilots in the cockpit for a reason," she said Wednesday. "They're there to fly, to navigate, to communicate and if they're using automation a big key is to monitor."
As the trainee pilot flew, she said, the instructor captain, who is ultimately responsible for flight safety, was tasked with monitoring. The third pilot was in the cockpit jump seat also to monitor the landing.
View gallery
The tail of Asiana Flight 214, which crashed on Saturday, …
The tail of Asiana Flight 214, which crashed on Saturday, July 6, 2013, is seen on a tarmac at San F …
Crash survivor Brian Thomson, who was returning from a martial arts competition in South Korea and walked away unscathed, said he's not concerned about the pilot's lack of experience with the airliner.
"At some point you have to start at hour one, hour two. It's just natural. Everyone starts a career someway, somehow. Starts a new plane someway, somehow. They have to have training," he said.
The flight originated in Shanghai and stopped over in Seoul before making the nearly 11-hour trip to San Francisco.
A dozen survivors remained hospitalized Wednesday, half flight attendants, including three thrown from the airliner during the accident.
Meanwhile, fire officials continued their investigation into whether one of their trucks might have run over one of the two summer camp bound Chinese teenagers, Wang Linjia and Ye Mengyuan, killed in the crash.