TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, January 8, 2015

WANANCHI IRINGA WATAKIWA KUWAJIBIKA

indexKIBIKIWananchi na viongozi wa manispaa ya Iringa watakiwa kujitolea katika maswala mbalimbali yahusuyo jamii kwa kuwajibika ipasavyo hasa katika swala la kufanya usafi katika mazingira yanayotuzunguka.
Akizungumza na nuru fm  mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM taifa FRANK KIBIKI amesema kuwa ameamua kufanya usafi katika maeno mbalimbali ya manispaa ya iringa kwa kuwa kikundi chao kimejitolea kufanya kazi hiyon pamoja na kujitambulisha kwa uongozi wa halmashauri ya manispaa.
KIBIKI ameongeza kuwa kiongozi lazima uwe mfano kwa jamii husika katika kuleta maendeleo mbalimbali hasa kuwajengea vijana uwezo wa kujitambua na kupenda kujifunza na kuijijali wao wenyewe hasa swala la usafi.
KIBIKI ameongeza kwa kusema kuwa kila mtu anayeishi duniani anaweza kuzibzdili changamoto kuwa fursa ambazo zitakuwa na faida kubwa kwa jamii husika lakini akasema kuwa sio kiasi gani cha fedha alizizoziacha dunia buli ni familia gani ya familia aliyoiacha duniani.
Aidha KIBIKI amewata wananchi wa manispaa  kuwafundisha vijina jinsi gani ya kufanya usafi hivyo watakuwa wamechangia kuioka jamii katika swala afya kwa kuwa wananchi wote watakuwa wanajua umuhimu wa wa kutunza mazingira.
KIBIKI amemalizia kwa kuwataka wananchi kuwa wasafi na kuwaridhisha vijana kujua na kujifunza juu ya kufanya usafi hivyo usafi ukianzia nyumbani  basi hata mitaa yetu itakuwa misafi na tutakuwa tumewatengezeza viongozi wazuri.

No comments:

Post a Comment