-Makamo
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk,Mohd Gharib Bilali 
kushoto akisalimiana na Balozi mdogo wa China alieko Zanzibar Mr.Xie 
Yunliang katika ufunguzi wa Kituo cha Kompyuta cha Skuli ya Secondary ya
 Kiembe Samaki mjini Zanzibar ikiwa ni Shamra shamra za kutimiza miaka 
51 ya Mapinduzi ya Zanzibar. 
Makamo
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk,Mohd Gharib Bilal akikata
 Utepe kuashiria ufunguzi wa Kituo cha Kompyuta cha Skuli ya Secondary 
ya Kiembe Samaki mjini Zanzibar ikiwa ni Shamra shamra za kutimiza miaka
 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar. 
Makamo
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk,Mohd Gharib Bilal akipata
 maelezo kuhusiana na Compyuta kwa Balozi mdogo wa china alieko Zanzibar
 Mr.Xie Yunliang katika ufunguzi wa Kituo cha Kompyuta cha Skuli ya 
Secondary ya Kiembe Samaki mjini Zanzibar ikiwa ni Shamra shamra za 
kutimiza miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar. 
Baadhi
 ya Walimu na Wanafunzi waliohudhuria katika sherehe ya ufunguzi wa 
Kituo cha Kompyuta cha Skuli ya Secondary ya Kiembe Samaki mjini 
Zanzibar ikiwa ni Shamra shamra za kutimiza miaka 51 ya Mapinduzi ya 
Zanzibar. 
Makamo
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk,Mohd Gharib Bilal akitoa 
hotuba katika ufunguzi wa Kituo cha Kompyuta cha Skuli ya Secondary ya 
Kiembe Samaki mjini Zanzibar ikiwa ni Shamra shamra za kutimiza miaka 51
 ya Mapinduzi ya Zanzibar.kulia yake ni Balozi mdogo wa china alieko 
Zanzibar Mr.Xie Yunliang na kushoto yake ni Waziri wa Elimu na Mafunzo 
ya Amali Zanzibar Ali Juma Shamhuna.
PICHA NA YUSSUF SIMAI.MAELEZO ZANZIBAR.
No comments:
Post a Comment