TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, January 9, 2015

YAYA TOURE MWANASOKA BORA WA AFRIKA KWA MIAKA MINNE MFULULIZO

article-2077899-0F42D59700000578-75_306x480
Kiungo mchezeshaji wa Manchester City, Yaya Toure ameibuka na kushinda tuzo ya mchezaji bora Afrika kwa mwaka 2014 Ushindi huo wa Toure unamfanya awe amechukua tuzo hiyo mara nne mfululizo.
Toure, 31, ameibuka mshindi katika sherehe za tuzo hiyo zilizofanyika usiku wa kuamkia leo jijini Lagos Nigeria.
Raia huyo wa Ivory Coast amewashinda mshambuliaji wa Borussia Dortimund raia wa Gabon, Pierre-Emerick Aubameyang na kipa wa Nigeria Vincent Enyeama.
Toure ameingoza Man City kubeba ubingwa wa England huku yeye akiwa amepachika mabao 20 na kuwa kiungo mwenye mabao mengi zaidi England.

No comments:

Post a Comment