Naibu Waziri wa Miundo mbinu na 
Mawasiliano Issa Haji Ussi (Gavu),akifungua kitambaa kama ishara ya 
Ufunguzi wa mtambo wa kubadilishia maji kutoka kwenye chumvi na kuwa 
safi na salama huko Uzi Ng’ambwa Wilaya ya kati Unguja ikiwa ni shamra 
shamra za maadhimisho ya miaka 51ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Naibu Waziri wa Miundo mbinu na 
Mawasiliano Issa Haji Ussi (Gavu)akikinga Maji yaliobadilishwa kutoka 
kwenye chumvi na kuwa safi na salama baada ya kufungua huko Uzi Ng’ambwa
 Wilaya ya kati Unguja ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya miaka 
51ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Wananchi mbalimbali wakinywa maji 
yaliobadilishwa kutoka kwenye chumvi na kuwa safi na salama baada ya 
kufunguliwa huko Uzi Ng’ambwa Wilaya ya kati Unguja ikiwa ni shamra 
shamra za maadhimisho ya miaka 51ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Zanzibar.
Naibu Waziri wa Miundo mbinu na 
Mawasiliano Issa Haji Ussi (Gavu)akitoa hotuba wakati alipofungua mtambo
 wa kubadilishia maji kutoka kwenye chumvi na kuwa safi na salama Uzi 
Ng’ambwa Wilaya ya kati Unguja ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya 
miaka 51ya Mapinduzi ya Zanzibar.kulia yake nimuakilishi wa Taasisi ya 
Mork Water Solution ya Ujarumani Mikalen na kushoto yake ni Mkuu wa Mkoa
 wa Kusini Idriss Muhsin Hijja.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.




No comments:
Post a Comment