TAN
Bayport
Kikoa
Myway entertainment
FORE PLAN CLINIC
MPINGA CUP 2016
Mashujaa Fm 89.3, Lindi
Tuesday, January 6, 2015
WAZIRI WA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO ZANZIBAR NASSOR MAZRUI AKUTANA NA WANAHABARI KUELEZEA KUHUSU MAONYESHO YA BIASHARA
Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu Tamasha la Biashara litakalofunguliwa tarehe 7mwezi huu katika viwanja vya maisara. (kushoto) Naibu Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Bi. Thuwaiba Edington Kisasi na (kulia) Mkurugenzi Idara ya Biashara na Ukuzaji Biashara Mohamed Jaffar Jumanne.(Picha na Makame-Mshenga Maelezo Zanziba).
Mwandishi wa Habari wa ITV Farouk Karim akiuliza swali katika mkutano wa waandishi wa Habari ulioitishwa na Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko kuhusu Tamasha la Biashara litalofanyika kuanzia tarehe 7 hadi 13 mwezi huu katika viwanja vya Maisara Mjini Unguja.
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbali wakimsikiliza Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko katika mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika Wizara ya Biashara Malindi Zanzibar.
(Picha na Makame-Mshenga Maelezo Zanziba).
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment