TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, January 8, 2015

Rais Kikwete amwapisha Msajili wa Mahakama ya Rufaa

unnamedMsajili wa Mahakama ya Rufaa Bibi Katarina Tengia Revocati akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo(Picha na Freddy Maro) unnamed1Msajili wa Mahakama ya Rufaa Bibi Katarina Tengia Revocati akipokea vitendea kazi kutoka kwa  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kula kiapo  ikulu jijini Dar es Salaam leo(Picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment