TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, January 1, 2013

Rais Kikwete azindua matokeo ya sensa ya watu na makazi 2012.

 
Rais Jakaya Kikwete akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuzindua matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2012  jana jijini Dar es salaam ambapo idadi ya watu Tanzania imefikia milioni 44 929 002.Picha na Aron Msigwa -MAELEZO
 
Rais Jakaya Kikwete katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa serikali na vyama vya siasa.
 
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja  kwenye bango linaloonyesha idadi ya watu Tanzania na viongozi na watendaji wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012.
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja  kwenye bango linaloonyesha idadi ya watu Tanzania na viongozi na watendaji wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012.

No comments:

Post a Comment