TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, March 11, 2014

SIMBA YAFANYA USAJILI MPYA KIZUNGU!!

kocha_loga 
SI Azam FC tu inayofanya mambo kisayansi, hata Simba ya Msimbazi na yenyewe imeanza kubadilika.
Azam imeshamsainisha kiraka Owen Kasule wa Uganda tayari kwa msimu ujao lakini Simba kupitia kwa mkurugenzi wake wa ufundi, Moses Bassena inapitia viwanjani kukagua wachezaji wote kwenye timu zote za Ligi Kuu Bara.
Kwa mujibu wa Simba hilo linafanyika ili kuhakikisha wanafanya usajili wa maana na si magarasa kama ilivyokuwa awali kwa kuwafuatilia kwenye mechi zao wanazocheza.

No comments:

Post a Comment