TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, March 17, 2016

TAASISI MBALIMBALI ZATOA MADA KATIKA KIKAO KAZI CHA MAAFISA HABARI NA MAWASILIANO SERIKALINI

Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy akitoa mada kuhusu huduma mbalimbali za TeknolojiA ya mawasiliano kwa njia ya mitandano kwenye kikao kazi cha maafisa habari na mawasiliano serikalini katika ukumbi wa VETA mkoani Morogoro leo Machi 17, 2016.
Afisa kutoka kampuni ya Push Mobile Bi. Patricia Michael akitoa mada kuhusu huduma mpya ya upashaji habari kwa njia ya simu za mkononi iitwayo SIMU TV kwenye kikao kazi cha maafisa habari na mawasiliano serikalini katika ukumbi wa VETA mkoani Morogoro leo Machi 17, 2016 .
Meneja wa mawasiliano na uhusiano wa Umma wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Bi. Gaudensia Simwanza akipokea zawadi baada ya kufaulu maswali kutoka kwa Mwezeshaji kutoka Uongozi Institute, Bi Joy Nyabongo katika kikao kazi cha maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini ukumnbi wa VETA mjini Morogoro .
Afisa kutoka kampuni ya Push Mobile Bw. Abdi Zagar akitoa mada kuhusu huduma mpya ya upashaji habari kwa njia ya simu za mkononi iitwayo SIMU TV kwenye kikao kazi cha maafisa habari na mawasiliano serikalini katika ukumbi wa VETA mkoani Morogoro leo Machi 17, 2016.
Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Bi. Sarah Kibonde akitoa mada kuhusu mamlaka hiyo kwenye kikao kazi cha maafisa habari na mawasiliano serikalini katika ukumbi wa VETA mkoani Morogoro leo Machi 17, 2016. 

No comments:

Post a Comment