Uzembe
wa Madereva wawapo bararani umeingiza zaidi ya milion 500 kwa jeshi la
polisi kanda maalum kupitia kitengo cha usalama barabarani,Polisi Kanda
maalum DSM kupitia kitengo cha Usalama Barabarani kimefanikiwa kukamata
magari mbali mbali kwa makosa ya usalama barabarani jumla ya Tshs
577,831,000/= zimekusanywa ikiwa ni tozo kwa makosa hayo.
Aidha madereva wametakiwa kuwa waangalifu pindi wawapo bararani ili
kuepuka adhabu zitolewazo ili vipatao hivyo viwasaidie katika maisha yao
ya kila siku.
Kamanda Siro akitoa taarifa ya makosa ya usalama barabarani
TAN
Bayport
Kikoa
Myway entertainment
FORE PLAN CLINIC
MPINGA CUP 2016
Mashujaa Fm 89.3, Lindi
Saturday, March 19, 2016
Uzembe waingiza zaidi ya milion 500 kwa Jeshi la Polisi Dar
Uzembe
wa Madereva wawapo bararani umeingiza zaidi ya milion 500 kwa jeshi la
polisi kanda maalum kupitia kitengo cha usalama barabarani,Polisi Kanda
maalum DSM kupitia kitengo cha Usalama Barabarani kimefanikiwa kukamata
magari mbali mbali kwa makosa ya usalama barabarani jumla ya Tshs
577,831,000/= zimekusanywa ikiwa ni tozo kwa makosa hayo.
Aidha madereva wametakiwa kuwa waangalifu pindi wawapo bararani ili
kuepuka adhabu zitolewazo ili vipatao hivyo viwasaidie katika maisha yao
ya kila siku.
Kamanda Siro akitoa taarifa ya makosa ya usalama barabarani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment