TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, May 25, 2016

RAIS DKT MAGUFULI AMTEUA WAZIRI MKUU MSTAAFU,PINDA KUWA MKUU WA CHUO KIKUU HURIA TANZANIA.

============================================

MATUKIO YA BUNGE LEO.





Serikali yaadhimisha siku ya Afrika kwa kumuenzi nguli mpigania uhuru wa Tanganyika Hayati Kaluta Amri Abeid Kaluta

======================================================

JAMIE OLIVER, ALIKIBA & FOOD PERSONALITY MARION ELIAS SUCCESSFUL FOOD REVOLUTION DAY IN TANZANIA

  · Music Superstar AliKiba and well-known food personality Marion Elias joined Jamie Oliver’s Food Revolution with a live cooking demonstration on Facebook on Friday 20th May

· 9 per cent of boys and 12 per cent of girls under the age of 20 in Tanzania are classed as overweight and obese in 2013*

Tanzania saw the launch of Food Revolution Day on Friday, 20th May 2016 amidst a fanfare of celebrities, live cooking events, a flurry of social media activity and, of course, the British celebrity chef and campaigner Jamie Oliver, who launched the campaign. Jamie and his army of revolutionaries staged a series of live events on Facebook to encourage governments at the World Health Assembly meeting in Geneva on 23rd May to tackle the child nutrition crisis.

Now in its fifth year, highlights included chefs and celebrities streaming live on Facebook on 20th May during a seven-hour cooking marathon, calling for people around the world to sign up to the Food Revolution. In India the campaign’s Global Champions - music superstar AliKiba and well-known food personality Marion Elias - were the hosts of the live event on Facebook which took place in Mbuyuni Primary School, Oysterbay.  
Food Revolution Day, which is saw Jamie joined by a host of well known chefs and personalities, all of whom carried out Facebook Live broadcasts from the around the world to help make history. Some of the notable names included: Jacqueline Fernandez and Chef Kunal Kapur (Mumbai, India); Chef Gennaro, Chef Clodagh McKenna, Charlotte Crosby, Alfie Deyes, Tanya Burr and Jim Chapman (London); Kris Jenner, Wolfgang Puck and Cody Simpson (L.A. USA); Chef Donna Hay (Sydney, Australia); Chef Ali and Juliani (Nairobi, Kenya); Chef Tim Malzer, Chef Steffen Henssler and Janina Uhse (Hamburg, Germany); Chef Ana Luiza Trajano and Chef David Hertz with guests Marina Person and Felipe Solari (Sao Paulo, Brazil); cookery personality Marion Elias and AliKiba (Dar-es-Salaam, Tanzania); Chef Eros and Waje (Lagos, Nigeria); Chef Lynn Crawford (Toronto, Canada); and Bart Van Olphen and Miljuschka Witzenhausen (Netherlands).

MultiChoice-Tanzania waadhimisha siku ya Afrika


Haukasiriki unapoangalia onyesho katika televisheni au filamu ya kutoka Afrika au kumhusu muafrika na kisha ukatahamaki, “ Hii haina chochote kinachofanana na Afrika ninayoijua?”. Kwa miongo kadhaa, tasnia ya burudani ya filamu na televisheni imetawaliwa na simulizi zenye maudhui ya nchi za Magharibi- hata pale zinapokuwa za kutoka Afrika na kwa ajili ya Waafrika. Kwa bahati nzuri, ndani ya miaka kadhaa iliyopita, tumeona mabadiliko japo ya taratibu lakini ya uhakika, ya simulizi zenye uhalisia kuhusu Waafrika zikisimuliwa kuhusu bara letu.

MultiChoice tunajisikia fahari kutokana na ushiriki wetu katika mabadiliko na maendeleo haya tangu kuanzishwa kwetu barani Afrika miaka 20 iliyopita. Mojawapo ya malengo yetu ya msingi ni pamoja na kuhakikisha kwamba huduma zetu zinawaendeleza wateja wetu kwa kuwaletea maudhui ambayo wanaweza kuyahusisha nayo na maisha yao ya kila siku. 

Lengo hili linatukumbusha dhamira yetu ya kuendelea kuunga mkono na kuendelea kuwekeza katika tasnia ya burudani barani Afrika na kuonyesha vipaji vya waafrika kupitia chaneli za hapa barani Afrika za MNet. Kutoka Nollywood mpaka Riverwood, tunaamini katika kusimulia na kuelezea habari au simulizi za Ki-Afrika ambazo watazamaji wetu wanaweza kuzihusisha nazo na maisha yao ya kila siku. Siku ya Afrika inapokaribia tarehe 25 May mwezi huu, tunasheherekea wasimulizi mbalimbali kutoka Afrika ambao wanachangia katika ukuaji wa tasnia ya filamu na televisheni ya Afrika.

Watazamaji wetu wametuamini kuwa waangalizi na wahifadhi wa simulizi za kiafrika na kuhakikisha panakuwa na simulizi zenye uwiano kuhusu Afrika. Kimsingi hakuna simulizi moja ambayo inafafanua au kuelezea kila kitu kuhusu bara letu na ndio maana chaneli zetu za zinazolenga bara la Afrika ambazo zinajumuisha Africa Magic, Maisha Magic Bongo, Maisha Magic East (E36) na Zambezi Magic, Mzansi Music na Mzansi Bioskop- zimeahidi na kujizatiti katika kuelezea simulizi za Afrika kama zilivyo. Chaneli hizi zinaleta mtazamo tofauti kuhusu maisha ya Afrika ambayo watazamaji wake wanaweza kuyahusisha na maisha yao ya kila siku.

==========================================

BILIONI 8 KUTUMIKA KUBORESHA VYUO VYA AFYA NCHINI








Contractors Registration Board Annual Meeting set for 26th and 27th of May




This was amid reports that at least 65 per cent of projects undertaken by indigenous contractors were shoddy due to poor financial base and lack of professionalism.In its bid to support the performance of local contractors, TIB Corporate Bank introduced hassle-free loans to local contractors of various works aiming to build and strengthen contractors’ financial capacity and create a bigger room for them to play in the construction industry. 
The loan is extended for meeting working capital needs; purchase of construction equipment; and for providing bank guarantees for the purpose of earnest money deposit or security deposit. 
‘This special loan facility for the local contractors is tailor made in order to support and create a favourable operating enviroment, and thus enable them to compete with international contractors and thus contribute to the economy of the country’ said Frank Nyabundege, TIB Corporate Bank Managing Director.
The meeting in Dar es Salaam will also host an international Construction technology, products and services Exhibition
 
===========================================

MFUMO WA USIMAMIZI WA NYARAKA KIDIJITI KUONGEZA KASI YA UTENDAJI SERIKALINI.


Mfumo wa usimamizi wa nyaraka kidijiti utaongeza kasi serikalini na hivyo kuchochea maendeleo chanya katika kila nyanja.
Hayo yamesemwa leo na Katibu mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Prof.Elisante Ole Gabriel wakati wa mafunzo yanayotolewa na Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano kwa Menejimenti ya wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo wakati walipotembelea mfumo wa usimamizi wa nyaraka wa kidijiti.
Alisema pia kuwa mfumo huu una faida nyingi na ndio ambazo zimeifanya wizara hii kutaka kujifunza ni pamoja na suala la gharama na kwa kuwa serikali ya awamu ya tano iko katika jitihada kubwa za kupunguza matumizi na kwa kuwa bajeti ya shajala ni kubwa katika taasisi nyingi za serikali hivyo mfumo huu wa kidijiti utasaidia kupunguza garama kwani hapatakuwa na haja ya kutumia karatasi na hivyo kupunguza gharama kubwa.
Prof Elisante pia aliongeza kuwa mfumo huu utaongeza usiri wa nyaraka hizi na kwa sasa zitakuwa zinasomwa na yule tu aliyekusudiwa na kutoa pongezi kwa ofisi ya rais manejimenti ya umma kwa kuhamasisha matumizi ya mfumo huu kwani ukitumiwa vyema utakuwa na manufaa sana.
Kwa upande wake Katibu mkuu wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Faustin Kamuzora alisema kuwa mfumo huo ulijengwa miaka mitatu iliyopita na unaweza kutumika katika wizara yeyote kwani una ufanisi mkubwa sana kwani kwa sasa utaweza kuangalia mafaili gani yameingia kwa mfumo wa kidijitali na kwa namna hii itapunguza garama na muda kwani hatutakuwa tunatumia karatasi tena.
Prof.Kamuzora alizitaka Taasisi na Wizara mbalimbali kuwapa elimu ya kutosha watunza kumbukumbu kwani wao ndio wahusika wakuu wa kwanza wa mfumo huu na hivyo kuwataka wahusika kuwapa mafunzo ya kompyuta na kuboresha vifaa kama scanner maofisini mwao.
Nae mmoja wa watunza kumbukumbu kutoka wizara Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi.Felomena Swai alisema amenufaika na mafunzo hayo na yatawasaidia katika utunzaji wa kumbukumbu kwani sasa watapeleka barua kwa wakati na kurahisisha utunzaji wa mafaili.
 
===========================================

MBUNGE WA MAFINGA MJINI ATOA MSAADA WA AMBULANCE JIMBONI KWAKE








RC DAR, MGENI RASMI MAADHIMISHO YA HEDHI SALAMA.






No comments:

Post a Comment