============================================
MATUKIO YA BUNGE LEO.
==================================================  
Serikali yaadhimisha siku ya Afrika kwa kumuenzi nguli mpigania uhuru wa Tanganyika Hayati Kaluta Amri Abeid Kaluta
======================================================
Tanzania yapiga hatua kubwa katika matumizi ya huduma za mitandao
JUMLA YA MAKAMPUNI 27 YAJITOKEZA KUOMBA LESENI ZA KUTOA HUDUMA YA USAFIRI WAANGA
===============================================MACHINGA BADO KERO KUBWA NDANI YA JIJI LA MWANZA
Contractors Registration Board Annual Meeting set for 26th and 27th of May
MFUMO WA USIMAMIZI WA NYARAKA KIDIJITI KUONGEZA KASI YA UTENDAJI SERIKALINI.
RC DAR, MGENI RASMI MAADHIMISHO YA HEDHI SALAMA.
Mratibu
 wa Maji, Afya na Usafiri wa Mazingira kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo
 ya Ufundi, Theresia Kuiwite (kulia). akizungumza  na waandishi wa 
habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya siku ya hedhi 
salama. Wengine ni Mkurugenzi wa Programu za Afya Mashuleni kutoka 
Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia ,Wazee na Watoto, Orsolina 
Tolage (kushoto) na Msemaji mwakilishi wa Wadau wote wa Mapendeleo 
waliochangia maadhimisho hayo, Clare Haule.

 Mkurugenzi
 wa Programu za Afya Mashuleni kutoka Waziri wa Afya na Maendeleo ya 
Jamii, Jinsia ,Wazee na Watoto, Orsolina Tolage (katikati), akizungumza 
 na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya 
siku ya hedhi salama. Kulia ni Msemaji mwakilishi wa Wadau wote wa 
Mapendeleo waliochangia maadhimisho hayo, Clare Haule na Mratibu wa 
Maji, Afya na Usafiri wa Mazingira kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya 
Ufundi, Theresia Kuiwite.







Waziri
 Mkuu, Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Rwanda, Paul Kagame
  kwenye  Kituo cha Mikutano cha Mlungushi kilichopo Lusaka Zambia 
ambako walihudhuria mkutano wa Benki ya  Maendeleo ya Afrika – ADB, Mei 
24, 2016, Majaliwa alimwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano huo. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Watanzania waishio Zambia kwenye 
ubalozi wa Tanzania uliopo Lusaka Mei 24, 2016. Majaliwa alikwenda 
Zambia kumwakilisha  Rais John Magufuli kwenye Mkutano wa Benki ya 
Maendeleo ya Afrika- ADB uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha 
Mlungushi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi
 ya Watanzania  waishio Zambia wakimsikiliza Waziri  Mkuu, Kassim 
Majaliwa wakatia lipozungumza nao kwenye ubalozi wa Tanzania uliopo 
Lusaka.  Majaliwa  alikwenda Zambia kumwakilisha Rais John Magufuli 
kwenye  mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika – ADB, Mei 24, 2016. 
Baadhi
 ya Watanzania  waishio Zambia wakimsikiliza Waziri  Mkuu, Kassim 
Majaliwa wakatia lipozungumza nao kwenye ubalozi wa Tanzania uliopo 
Lusaka.  Majaliwa  alikwenda Zambia kumwakilisha Rais John Magufuli 
kwenye  mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika – ADB, Mei 24, 2016.
Baadhi
 ya Watanzania  waishio Zambia wakimsikiliza Waziri  Mkuu, Kassim 
Majaliwa wakatia lipozungumza nao kwenye ubalozi wa Tanzania uliopo 
Lusaka.  Majaliwa  alikwenda Zambia kumwakilisha Rais John Magufuli 
kwenye  mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika – ADB, Mei 24, 2016. 
(Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu).
Mwandishi maalum-Geneva.
Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Mkutano wa Benki ya Maendeleo 
ya Afrika – ADB kwenye Kituo cha Mikutano cha Mlungushi kilichopo Lusaka
 Zambia , Mei 24, 2016. Wengine pichani kutoka kushoto ni Makamu wa Rais
 wa Nigeria, Prof. Yemi Osinbojo, Rais wa Chad,  Idriss Debyo, Rais wa 
Zambia, Edgar Lungu na Waziri Mkuu wa Msumbiji,  Carlos Agostino do 
Rosario (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)















Katibu
 mkuu wizara ya habari,utamduni,sanaa na michezo Prof Elisante Ole 
Gabriel akizungumza jambo wakati  menejimenti ya wizara hiyo ilipofanya 
ziara ili kujifunza mfumo wa usimamizi wa nyaraka kidijitali unavyofanya
 kazi katika  ofisi za wizara ya ujenzi,uchukuzi na mawasiliano leo 
jijini Dar es Salaam.Kushoto kwake ni Katibu Mkuu Wizara ya 
Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Faustin Kamuzora na Naibu katibu 
mkuu wizara ya habari,utamaduni,sanaa na michezo Bi.Nuru Khalfan Mrisho.
Katibu
 Mkuu Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Faustin Kamuzora 
akieleza jambo kwa menejiment kutoka  Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa 
na Michezo walipofika ofisini hapo ili kujifunza mfumo wa usimamizi wa 
nyaraka kidijitali.
Watumishi
 pamoja na Menejimenti  kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na 
Michezo wakisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa Kaimu mkuu wa 
masijala ya wazi Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Bi.Bupe 
Munisi(wa kwanza mwenye nguo ya njano) jinsi mfumo wa  usimamizi wa 
nyaraka kidijiti(DMIS) unavyofanya kazi .
Menejimenti
 ya Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo wakiwa katika ziara 
mafunzo ya mfumo wa usimamizi wa nyaraka kidijitali unavyofanya kazi 
katika  ofisi za wizara ya ujenzi,uchukuzi na mawasiliano.
No comments:
Post a Comment