TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, November 22, 2011

kuzaliwa Sekela Jakobo Mwaipungu iliyofanyika Dodoma jana

 Sekela Jakobo Mwaipungu, akiwa katika utulivu wakati wa sherehe yake ya kuzaliwa jana
 Emmanuel G. Msangi(kulia) akiwa na ndugu na jamaa katika hafla ya kuzaliwa kwa Sekela Jakobo Mwaipungu, iliyofana jana
 Marafiki wa Sekela Jakobo Mwaipungu, wakiwa katika sherehe hiyo
 Emmanuel G. Msangi akiwa kwenye sherehe ya rafiki yake kipenzi Sekela Jakobo Mwaipungu jana.
 Hii ndiyo keki ya Sekela Jakobo Mwaipungu
 Sekela Jakobo Mwaipungu, akikata keki hiyo
 Sekela Jakobo Mwaipungu, akimlisha mgeni Rasmi ambaye alikuwa Rais wa Miss Utalii Tanzania, Ndugu Gideon Chipungahelo
 Sekela Jakobo Mwaipungu, akimlisha keki Rafiki yake Kipenzi Emmanuel G. Msangi
 Mgeni Rasmi Gideon Chipungahelo akimlisha keki mtoto Sekela Jakobo Mwaipungu.
 Mtoto Sekela Jakobo Mwaipungu, akikabidhi keki kwa mdogo wake, OLGA
Mtoto Sekela Jakobo Mwaipungu, akinong'oneza jambo na dada yake-HELLEN

No comments:

Post a Comment