TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, December 18, 2011

WEMA V/S JOKETI=PILATO

KWA HADITHI ILIYOTUFIKIA MUDA MFUPI FROM NOW NIKWAMBA KUNA MANENO ZIKO CHINI YA SAKAFU ETIIII!JOKETH ANAJIPANGA KUMBURUZA WEMA SEPETU MAHAKAMANI KWAA KUMCHAFUA...
NI vurugu mechi kati ya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu (pichani) na namba mbili
wake, Jokate Mwegelo, mtifuano ni mzito lakini habari mpya ni kwamba sakata hilo linahamia kwenye mkondo wa kisheria.
Wema anamtuhumu Jokate kutoka kimapenzi na aliyekuwa mchumba wake, Naseeb Abdul ‘Diamond’, kitu ambacho kimesababisha wamwagane.
Kwa mujibu wa rafiki wa Jokate, Wema atasimamishwa kortini siku chache zijazo kujibu tuhuma za kumchafua mrembo huyo.
THAT KUTOKA KWA bongo codes

No comments:

Post a Comment