TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, August 20, 2013

PEPSI MAYOR'S GUMZO JIJINI MWANZA- PEPSI YAPONGEZWA NA WAKAZI WA MKOA HUO

Balozi wa PEPSI TANZANIA- Juma Kaseja, Muda mfupi baada ya kuwasili jijini Mwanza kushuhudia Fainali hizo za Kwanza za Kombe la Pepsi Mayor's Cup. wengine ni wafanyakazi wa kampuni hiyo. 
(Picha Zote kwa Hissani ya Miss Demokrasia Tanzania).
 Mfungaji Bora wa Michuano ya Pepsi Mayor's Cup, Godfrey Gerald, akionyesha Zawadi ya Tuzo ya Dhahabu.
 Vijana wakazi wa jiji la Mwanza wakifuatilia kwa Makini Semina ya Mafunzo kutoka kwa wakufunzi wa DUME- kuhusiana na Matumizi bora ya kutumia Kinga(DUME Kondom) wakati wa Tendo la Ndoa(Ngono Salama).
 Wachezaji wa Timu za Mpira wa Miguu(Soka) Timu zilizoshiriki michuano hiyo, wakifuatilia kwa Makini Semina ya Mafunzo kutoka kwa wakufunzi wa DUME- kuhusiana na Matumizi bora ya kutumia Kinga(DUME Kondom) wakati wa Tendo la Ndoa(Ngono Salama).
 Baadhi ya Wachezaji wa Timu katika Michuano hiyo, wakijiandikisha majina yao kabla ya kuingia uwanjani
 Wachezaji wa Timu za Mpira wa Miguu(Soka) Timu zilizoshiriki michuano hiyo, wakifuatilia kwa Makini Semina ya Mafunzo kutoka kwa wakufunzi wa DUME- kuhusiana na Matumizi bora ya kutumia Kinga(DUME Kondom) wakati wa Tendo la Ndoa(Ngono Salama).
 Baadhi ya Timu Shiriki
 Wachezaji wa Timu za Mpira wa Miguu(Soka) Polisi, Timu zilizoshiriki michuano hiyo, wakifuatilia kwa Makini Semina ya Mafunzo kutoka kwa wakufunzi wa DUME- kuhusiana na Matumizi bora ya kutumia Kinga(DUME Kondom) wakati wa Tendo la Ndoa(Ngono Salama).
 Wachezaji wa Timu za Mpira wa Miguu(Soka) Timu zilizoshiriki michuano hiyo, wakifuatilia kwa Makini Semina ya Mafunzo kutoka kwa wakufunzi wa DUME- kuhusiana na Matumizi bora ya kutumia Kinga(DUME Kondom) wakati wa Tendo la Ndoa(Ngono Salama).
 Mayor wa Nyamagana Mwanza, Stanlaus Mabula wa Pili Kulia, akionyesha Moja ya Zawadi za Wadhamini wa Fainali hizo
  Wachezaji wa Timu za Mpira wa Miguu(Soka) Timu zilizoshiriki michuano hiyo, wakifuatilia kwa Makini Semina ya Mafunzo kutoka kwa wakufunzi wa DUME- kuhusiana na Matumizi bora ya kutumia Kinga(DUME Kondom) wakati wa Tendo la Ndoa(Ngono Salama).
 Wapenzi na Mashabiki wa Timu ya Bingwa wa Fainali hizo, ISAMILO, wakiwasili kwenye Uwanja huo

No comments:

Post a Comment