TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, October 25, 2015



Bomu ya kiatomiki ilipolipuka mjini Nagasaki
Huku ulimwengu ukiadhimisha miaka 70 tangu ndege za kijeshi za Marekani ilipodondosha bomu la kinyuklia juu ya Nagasaki tazama picha za janga hilo.





 Majengo yote na viwanda viliharibiwa kabisa
Ibada maalumu za ukumbusho zinaendelea kufanywa katika mji wa Nagasaki, nchini Japan, kuadhimisha miaka 70 tangu kulipuliwa kwa bomu ya atomiki jijini humo.



Zaidi ya watu elfu 70,000 waliangamia
Wahasiriwa wa bomu hilo waliungua mwili wao mzima
Tarehe 9 Agosti mwaka wa 1945, ndege ya Marekani ikiwa imejihami kwa silaha zenye nguvu za kitonaradi ilidondosha bomu la pili kuwahi kutupwa katika uwanja wa kivita katika mji wa , Nagasaki ambao ulikuwa ndio kitovu cha uzalishaji wa viwanda nchini Japan.



  Siku 6 tu baadaye Japan ilitangaza kuwa imejisalimisha katika vita hivyo vya dunia.
Siku 6 tu baadaye Japan ilitangaza kuwa imejisalimisha katika vita hivyo vya dunia.


 I Torahiko OgawaNagasaki Atomic Bomb Museum
Watu 74,000 waliangamia 
Takwimu zinasema kuwa takriban watu 74,000 waliangamia.


Image copyright AP
Image caption Watu wengi zaidi walikufa kutokana na athari ya miale ya nyuklia
Hii ilikuwa ni idadi kubwa zaidi ya watu hususan ikitokea siku tatu tu


Image caption Asilimia 70 ya watu hawakuwa na makao
baada ya bomu la kwanza la kinyuklia kuua zaidi ya watu 140,000 mjini Hiroshima.


Image copyright AP
Image caption Bomu hiyo iliyotikisa na kuangamiza kabisa mji wa Nagasaki
Bomu hiyo iliyotikisa na kuangamiza kabisa mji wa Nagasaki ilijulikana kwa jina la utani kama ''Fat Man''.


Image copyright AFP
Image caption Wahasiriwa wa mkasa huo hawataki Japan ijiuhusishe na vita tena
Ndege iliyotumika kutupa bomu hilo ilijulikana kama Bockscar, ilipaa kutoka kisiwa cha Mariana.


Image caption Kanisa kubwa zaidi wakati huo liliharibiwa kabisa
Rubani wake alikuwa Meja jenerali Charles Sweeney.


Image caption Zaidi ya watu 200,000 waliuawa
Inakisiwa kuwa zaidi ya watu 200,000 waliuawa katika milipuko hiyo miwili,


Image caption Wengine kufariki baadaye kutokana na miale ya sumu kutoka kwa mabomu hayo ya nguvu za kitonaradi
Wengine kufariki baadaye kutokana na miale ya sumu kutoka kwa mabomu hayo ya nguvu za kitonaradi.


Image copyright AP
Image caption Viongozi wanamkashifu waziri mkuu bwana Shinzo Abe kwa kubadili sera na katiba ilikuiruhusu nchi hiyo kushiriki kwa vita
Katika ibada ya ukumbusho iliyoandaliwa leo mjini Nagasaki,


Image caption Ndege iliyotumika kutupa bomu hilo ilijulikana kama Bockscar
wahasiriwa walimzomea waziri mkuu wa bwana Shinzo Abe kwa kutaka kubadilisha katiba ya taifa hilo ilikuwaruhusu wanajeshi wa Japan kuhusika na mapigano.


Image copyright REUTERS
Image caption Mnara wa amani umejengwa katika eneo hilo
Meya wa mji wa Nagasaki naye alivutia waya huohuo akimkashifu waziri mkuu bwana Shinzo Abe kwa jitihada za kubadilisha katiba ya nchi.

No comments:

Post a Comment