TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, February 24, 2012

MAMA ASIA IDAROUS KHAMSIN ASHEREKEA KUFIKISHA MAONYESHO 100

Mwandaaji wa onyesho la mavazi la 'Lady in Red' Reloaded 2012 Mama wa Mtindo Asia Idarous Khamsin akimkabidhi cheti cha shukrani kwa mmoja ya wanamziki wa Kalunde bandi na Deo Mwanambilimbi ambaye ni mmiliki wa bendi hiyo katika sherehe ya kusherehekea kutimiza maonyesho 100 iliyofanyika mgahawa wa Nyumbani Lounge jijini Dar es salaam.
Mwandaaji wa onyesho la mavazi la 'Lady in Red' Reloaded 2012 Mama wa Mtindo Asia Idarous Khamsin akimkabidhi cheti cha shukrani kwa mbunifu wa mavazi Falha Sultan katika sherehe ya kusherehekea kutimiza maonyesho 100 iliyofanyika mgahawa wa Nyumbani Lounge jijini Dar es salaam.
Mwandaaji wa onyesho la mavazi la 'Lady in Red' Reloaded 2012 Mama wa Mtindo Asia Idarous Khamsin akimkabidhi cheti cha shukrani kwa mmiliki wa Kajunason Blog, Cathbert Kajuna katika sherehe ya kusherehekea kutimiza maonyesho 100 iliyofanyika mgahawa wa Nyumbani Lounge jijini Dar es salaam.
Mwandaaji wa onyesho la mavazi la 'Lady in Red' Reloaded 2012 Mama wa Mtindo Asia Idarous Khamsin akimkabidhi cheti cha shukrani mbunifu wa mavazi Bw. Gabriel Mollel wa Sairiam design katika sherehe ya kusherehekea kutimiza maonyesho 100 iliyofanyika mgahawa wa Nyumbani Lounge jijini Dar es salaam.
Mwandaaji wa onyesho la mavazi la 'Lady in Red' Reloaded 2012 Mama wa Mtindo Asia Idarous Khamsin akikata keki katika sherehe ya kusherehekea kutimiza maonyesho 100 iliyofanyika mgahawa wa Nyumbani Lounge jijini Dar es salaam. Wanaoshangilia ni wabunifu wa mavazi wenzake.

No comments:

Post a Comment