TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, February 4, 2013

Lowasa awakonga nyoyo Walimu na Wanafunzi katika Shule ya Benjamini Mkapa Sekondari

 Mgeni Rasmi katika Mahafali ya kuwaga wanafunzi wa kidato cha sita shule ya Benjamini Mkapa, Waziri Mkuu Mstaafu-na Mbunge jimbo la Monduli Edward Lowasa, akifafanua jambo wakati wa hafla hiyo
 Mgeni Rasmi katika Mahafali ya kuwaga wanafunzi wa kidato cha sita shule ya Benjamini Mkapa, Waziri Mkuu Mstaafu-na Mbunge jimbo la Monduli Edward Lowasa, akifafanua jambo wakati wa hafla hiyo
 Mhitimu wa Kkidato cha Sita katika shule ya Sekondari Benjamini Mkapa na Msanii wa Commedy,Daudi Festo, akionyesha moja ya vichekesho wakati wa hafla hiyo kwa mgeni Rasmi
 Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowasa, akipiga picha na Wanafunzi wa Shule hiyo
 Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowasa, akipiga picha na Viongozi wa Shule hiyo
 washiriki wa Onyesho la Miss Demokrasia Tanzania-Benjamini Mkapa Sekondari katika miondoko ya kimiss
 wanafunzi wa shule hiyo katika picha
washiriki wa Onyesho la Miss Demokrasia Tanzania-Benjamini Mkapa Sekondari-wakijibu maswali
 Wwashiriki wa Onyesho la Miss Demokrasia Tanzania-Benjamini Mkapa Sekondari katika pozi
 Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowasa, akipiga picha na Wwashiriki wa Onyesho la Miss Demokrasia Tanzania-Benjamini Mkapa Sekondari
 Wanafunzi wa Kidato cha Sita wakifuatilia kwa makini
 Wazazi wa wanafunzi wakifuatilia hafla hiyo
Wahitimu wa Kidato cha Sita katika Shule ya Sekondari Benjamini Mkapa, wakiimba Shairi(Picha kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzanzania)

No comments:

Post a Comment