TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, June 3, 2013

MAANDALIZI YA TIMU YA UMISHUMITA TARAFA YA DODOMA MJINI INAENDELEA VIZURI KATIKA UWANJA WA JAMHURI DODOMA

Wanafunzi Mbalimbali wa shule za Msingi wakiwa katika mazoezi ya timu hiyo

Wanafunzi wa Shule za Msingi Dodoma AGNES LINUS na Amina juma, wakichuana wakati wa Maandalizi hayo




Mkufunzi wa Timu ya Umitashumita tarafa ya dodoma mjini, Thobias Liamba, akiwa na Wanamichezo wa Timu hiyo katika uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma.

Kikosi cha Timu ya Umitashumita kwa Upande wa Hand Ball, katika Picha ya Pamoja.

Mkufunzi wa Mchezo wa Kurusha Tufe, Mwalimu Ivan Ryoka, akitoa maelekezo kwa mchezaji Makambi Daudi, wakati wa maandalizi ya timu hiyo katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma.

Makambi Daudi akijiandaa kurusha Tufe
Mchezaji wa Subira Kiyami, kwa Upande wa Wanawake akijiandaa kurusha tufe wakati wa mafunzo katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.(Picha Zote kwa Hissani ya Miss Demokrasia Tanzania).

No comments:

Post a Comment