TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, August 11, 2013

Pepsi Mayors Cup Mwanza- yatingisha wakazi wa jiji la mwanza.

 Moja ya Mabango ya Barabarani katika kuhamasisha michuano hiyo
 Afisa Uhusiano wa Halmashauri ya jiji la Mwanza, Jose Mlinzi, katika pilika za maandalizi.
 Mkurugenzi wa My Way Entertainment, waandaaji wa Michuano ya Pepsi Mayors Cup, Paul Siboka, katikati, akiwa na baadhi ya Viongozi wa Pepsi katika kupanga Fainali ya Michuano hiyo katika Uwanja wa Nyamagana Mwanza.
 Mkurugenzi wa My Way Entertainment, waandaaji wa Michuano ya Pepsi Mayors Cup, Paul Siboka, na msaidizi wa Masoko wa Pepsi Taki, wakipanga mipango ya Tamasha hilo.
 Moja ya wadhamini wa Pepsi Mayors  Cup, na Wakuu wa Idara ya DUME Condom, wakiweka sawa maandalizi ya Fainali hiyo.
 Afisa Masoko wa Kampuni ya Pepsi, Taki akiwasiliana na Wakuu wa Idara Makao Makuu kuhusu ujio wa Mchezaji na Balozi wa Pepsi, Juma kaseja ambaye alitakiwa kuwasili mjini mwanza kwa ajili ya kukabidhi zawadi za washindi.
 Balozi wa Pepsi Tanzania, Juma Kaseja, akionekana mwenye furaha baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Mwanza.
 Balozi wa Pepsi Tanzania, Juma Kaseja,muda mfupi baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa mwanza.
 Juma kaseja na Kala Jelemia, ambao walikuwa wameharikwa katika Fainali hizo
 Hapa wakiwa katika Msafara kutoka uwanja wa ndege
Moja ya wadhamini wa Onyesho na Fainali hizo, DUME, wakiwa katika Maonyesho hayo
.(Picha Zote kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania).

No comments:

Post a Comment