Usiku
 wa April 13 2014 kwenye baa iitwayo ‘Arusha night park’ iliyopo 
Mianzini Arusha ambayo siku zote ni miongoni mwa sehemu zinazokua na 
mkusanyiko wa watu wengi kuanzia jioni, limerushwa bomu wakati watu 
mbalimbali wakitazama mpira.
wa Kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa ambae amethibitisha kwamba ni 
watu 15 wamejeruhiwa kwenye mlipuko huo.
Anasema
 wote wamepelekwa hospitali ambapo uchunguzi wa awali umeonyesha bomu 
hilo ni la kutengenezwa kwa mkono na mpaka sasa hajajulikana 
alietekeleza shambulio hilo.
Kwenye
 sentensi nyingine pia amesema hakuna aliepoteza maisha kwenye shambulio
 hilo ambalo uchunguzi wa awali umeshatoka, ila baadae itatoka taarifa 
rasmi pale uchunguzi kamili utakapokamilika.

No comments:
Post a Comment